Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Ha ha ha alipoanza kusema CVT inapunguza fuel consumption nikaona niendelee na mada nyingine. Audi A4 za zamani kibao zina CVT,Mini Cooper kibao zina CVT na zinakula mafuta kama gari ingine yoyote tu
Sifikiri kama jamaa anajua anachoongea. 4500CC lita moja kwa kilomita 18!!!

Kwanza anatakiwa ajie kuwa hybrid haitumii ile engine yenye cylinders kusukuma gari. Ni motors tu zinazosukumwa na umeme. Kwaio huwezi kusema kuwa eti ina 4500cc na ni 1 ltr for 18km. Maana hybrid ikifanya kazi hizo CC hazina faida yoyote.

Ni very wrong kusema eti Tesla ni 2.0L. Maana itabidi tukuulize Litre of what if its not using petrol nor diesel nor air? Na ndio hivo hivo kusema hybrid car ina CC 4500, cc izo for what if what is moving the car has nothing to do with air and fuel?
 
Boss huyu jamaa atakuingiza mkenge. HYBRID ni tech ya siku nyingi tu. Harrier zipo Hybrid,Toyota Prius ndio ilianza. Gari nyingi Sana zina Hybrid option hadi Range Rover wametoa Hybrid.

Kama shida yako ni Hybrid wala huna haja ya hilo Crown, hata Harrier Hybrid zipo kibao. Nikufahamishe tu ukiwa unasafiri mkoa litaanza kutumia petrol kwasababu mwendo wako utakuwa above 60kph na hio electric cell need to be charge na petrol engine

Thanks mkuu,haina noma,nakusoma
 
Boss huyu jamaa atakuingiza mkenge. HYBRID ni tech ya siku nyingi tu. Harrier zipo Hybrid,Toyota Prius ndio ilianza. Gari nyingi Sana zina Hybrid option hadi Range Rover wametoa Hybrid.

Kama shida yako ni Hybrid wala huna haja ya hilo Crown, hata Harrier Hybrid zipo kibao. Nikufahamishe tu ukiwa unasafiri mkoa litaanza kutumia petrol kwasababu mwendo wako utakuwa above 60kph na hio electric cell need to be charge na petrol engine
Mkuu tofautisha gear box ya kawaida na CVT, hizo harrier unazozungumzia ni zipi?au tako la nyani? Auto ina gear 4 CVT inaanzia 6 na kuende technologia ya zamani na sasa tofauti kabisa,
Msipende kutisha wenzenu wakashindwa kufurahia maisha
 
Sifikiri kama jamaa anajua anachoongea. 4500CC lita moja kwa kilomita 18!!!

Kwanza anatakiwa ajie kuwa hybrid haitumii ile engine yenye cylinders kusukuma gari. Ni motors tu zinazosukumwa na umeme. Kwaio huwezi kusema kuwa eti ina 4500cc na ni 1 ltr for 18km. Maana hybrid ikifanya kazi hizo CC hazina faida yoyote.

Ni very wrong kusema eti Tesla ni 2.0L. Maana itabidi tukuulize Litre of what if its not using petrol nor diesel nor air? Na ndio hivo hivo kusema hybrid car ina CC 4500, cc izo for what if what is moving the car has nothing to do with air and fuel?
Any ways endeleeni na IST ndio best
 
Sifikiri kama jamaa anajua anachoongea. 4500CC lita moja kwa kilomita 18!!!

Kwanza anatakiwa ajie kuwa hybrid haitumii ile engine yenye cylinders kusukuma gari. Ni motors tu zinazosukumwa na umeme. Kwaio huwezi kusema kuwa eti ina 4500cc na ni 1 ltr for 18km. Maana hybrid ikifanya kazi hizo CC hazina faida yoyote.

Ni very wrong kusema eti Tesla ni 2.0L. Maana itabidi tukuulize Litre of what if its not using petrol nor diesel nor air? Na ndio hivo hivo kusema hybrid car ina CC 4500, cc izo for what if what is moving the car has nothing to do with air and fuel?
Gari ya hybrid inatumia engine kama hii ya kawaida ila engine inasukuma kwa mbele gari inapokuwa na speed zaidi ya 60 na mota imewekwa katikati ya matairi ya nyuma inafanya kazi gari ikiwa na speed ndogo angalizo gari ya hybrid ushuru unakuwa mkubwa ukilinganisha na gari la kawaida
 
Gari ya hybrid inatumia engine kama hii ya kawaida ila engine inasukuma kwa mbele gari inapokuwa na speed zaidi ya 60 na mota imewekwa katikati ya matairi ya nyuma inafanya kazi gari ikiwa na speed ndogo angalizo gari ya hybrid ushuru unakuwa mkubwa ukilinganisha na gari la kawaida
Engine inakuwa haifanyi kazi gari ikitumia umeme mana mafuta hayahitajiki kwenye engine ni motors zinazopeleka gari itakuwa.

In order for internal engine combustion ifanye kazi inahitajika hewa mafuta na spark. Umeme haujitaji chochote kati ya icho.

Labda unambie engine ina zunguka tupu mpaka ikifika over 60 ndo mripuko unaanza
 
Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.

Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Yakishachomwa baba yanakuwa moshi...unatolewa nje na kutusababishia magonjwa...

Extra fuel ndiyo inarudi kwenye tank kabla ya kuingia kwenye engine.

Kumbuka fuel pump inazalisha presure kubwa sana hivyo mafuta yanayosukumwa na pump huwa ni mengi sana na si yote yanayoingia kwenye combustion chamber kwa wakati huo huo..... injectors zikisha...inject sufficient amount of fuel per combustion process, extra fuel inarudi kwa tank ..

Kuhusu ulaji wa mafuta kwa injini zenye ukubwa sawa na kuzingatia techonology ya kisasa... obviously, diesel itakuoa consumption nzuri zaidi.

Nawasilisha.
 
Mkuu tofautisha gear box ya kawaida na CVT, hizo harrier unazozungumzia ni zipi?au tako la nyani? Auto ina gear 4 CVT inaanzia 6 na kuende technologia ya zamani na sasa tofauti kabisa,
Msipende kutisha wenzenu wakashindwa kufurahia maisha
Point of correction...
CVT... continuous variable transmission.....haina gear zilizopangika 1,2,3,4 e.t.c

Cvt huwa inatumia belt ambayo huwa na uwezo wa kutanuka na kusinyaa upande wa input na output...ndiyo maana ukiendesha gari lenye cvt huwezi kusikia likibadilisha gear kama Ordinary Automati gear box
Driving experience ya CVT huwa very smooth..

Nenda you tube uone cvt inavyofanya kazi
main-qimg-0978db801d812a6824ff26907fe0847c.jpeg
images%20(6).jpeg
 
Point of correction...
CVT... continuous variable transmission.....haina gear zilizopangika 1,2,3,4 e.t.c

Cvt huwa inatumia belt ambayo huwa na uwezo wa kutanuka na kusinyaa upande wa input na output...ndiyo maana ukiendesha gari lenye cvt huwezi kusikia likibadilisha gear kama Ordinary Automati gear box
Driving experience ya CVT huwa very smooth..

Nenda you tube uone cvt inavyofanya kazi
View attachment 1084129View attachment 1084130
Nashukuru sana,lakini gear box zake Mara nyingi ukiifungua utakuta ni kubwa ina gear 6 + ,inapoanza kutembea gear utakayoisikia in moja tu zingine hutazisikia
 
Boss huyu jamaa atakuingiza mkenge. HYBRID ni tech ya siku nyingi tu. Harrier zipo Hybrid,Toyota Prius ndio ilianza. Gari nyingi Sana zina Hybrid option hadi Range Rover wametoa Hybrid.

Kama shida yako ni Hybrid wala huna haja ya hilo Crown, hata Harrier Hybrid zipo kibao. Nikufahamishe tu ukiwa unasafiri mkoa litaanza kutumia petrol kwasababu mwendo wako utakuwa above 60kph na hio electric cell need to be charge na petrol engine
Hivi hizi hybrid ni reliable? I mean sio mbovu mbovu?

Vipi kuhusu upatikanaji wa mafundi?
 
Gari ya petrol inatumia sana mafuta lakini ina speed nzuriii na inafika Top speed kwa harakaa... diesel inatumia mafuta less na inagain speed slow lakini ikigain speed aisee gari ya petrol inasubirii miaka 1000...
Diesel kwa kweli inasumbua maana haina performance yani Diesel ukiwa unataka ku overtake inabidi ugain speed kwanza ila ikishavuka 70km/h ukikanyaga mafuta mzigo unaitika vizuri sana...
 
Mzee Diesel zile za enzi ya mkapa maintenance costs ni nyingi sana yani trip za kitu hiki kimesumbua mara kile kinalia ni nyingi sana...
Kwa hio unamaanisha wanaotaka kununua ma nissan patrol y60 td42(ya enzi za Mkapa) wajiandae kisaikolojia sio mzee baba?
 
Diesel kwa kweli inasumbua maana haina performance yani Diesel ukiwa unataka ku overtake inabidi ugain speed kwanza ila ikishavuka 70km/h ukikanyaga mafuta mzigo unaitika vizuri sana...
Wengine wananunua for towing purpose mzee baba as yana torque kubwa na sio for Speed.
 
Back
Top Bottom