Hatari sanaTaliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Wanawake hawana haki ya kuishi huko Afghanistan 🇦🇫Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!
KUMBUSHO LA SIKU YA 16: Ni asubuhi huko Kabul, Afghanistan. Lakini siku ya giza kwa wasichana wa Afghanistan. #Taliban ilipiga marufuku wanafunzi wa kike wa chuo kikuu kuingia masomoni mnamo Desemba 20, 2022.Kweli Wataleban ni noma. Sasa kama hakuna madaktari wanaume itakuaje?
Au watarudi kwenye tiba na dawa za kisunnah?
Afghanistan ni Bora kuzaliwa mwanaumeTaliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Waje TizediWanawake hawana haki ya kuishi huko Afghanistan 🇦🇫
Hao watu walivyovaa aisee,hayo si ni mateso.Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211