Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera amesema wana mpango wa kujenga Hospitali itakayotumiwa na ‘Waganga wa Tiba Asilia’ katika Mkoa huo ambapo ujenzi huo unatokana na fedha kutoka kwa Waganga wenyewe.
RC Homera amesema Hospitali hiyo itasaidia kuondoa ramli chonganishi katika Mkoa huo na kuwaondoa ‘Waganga wa Tiba Asilia’ kutoka vichochoroni na kuwa sehemu moja na kwamba Waganga hao watapeana zamu ya kutibu katika Hospitali hiyo.
RC Homera amesema Hospitali hiyo itasaidia kuondoa ramli chonganishi katika Mkoa huo na kuwaondoa ‘Waganga wa Tiba Asilia’ kutoka vichochoroni na kuwa sehemu moja na kwamba Waganga hao watapeana zamu ya kutibu katika Hospitali hiyo.