Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,380
Mizimu bado ipo!!
Nadhani hoja ya Lisu ina mashiko, hakuna aliyeendekeza matatizo ya wakulima , wafanyakazi, wafanyabiashara wa Tanzania zaidi ya mfumo wa utawala wa nchi hii kwa zaidi ya miongo sita sasaAngalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania yanasababishwa na Magufuli au CCM. Katambi amesema matatizo hayo ni ya kihistoria yamesababishwa na ukoloni wa zamani ulioondolewa na ukoloni mamboleo.
Amesema matatizo yaliyopo ni 'shared' ambayo ya ni ujinga, maradhi, umasikina na sasa ufisadi. Amesema shared enemy tuliyenae leo ni ukoloni mamboleo ambao wanakuja kupora rasilimali.
Amesema Lissu anayeungana na Zitto Kabwe leo ndio aliyesoma mashtaka ya Zitto kumuondoa CHADEMA wakisema ni msaliti, kinyonga na mnafiki. Wanasema aliondolewa kwa sababu alitaka kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi yake binafsi.
Moja ya mashtaka amedai alipewa fedha akauza majimbo kanda ya ziwa mkoa wa Mara na alipewa gari pamoja na milioni 40 na Mkono.
Amesema wamtafute mtu kama yeye wafanye nae debate, wasimtafute mtu mkuubwa kama Magufuli kwani hawana hio audacity wala moral authority bali ni saizi yao.
Anasema Zitto alietuhumiwa CHADEMA kwa mambo mengi ya hovyo mpaka Lema kusema bora kumuamini shetani kuliko Zitto Kabwe na amedai ACT ni zao la Membe kwani limetengenezwa na timu ya Membe ili kuweza ku-counter CHADEMA wakati huo..
Inaonekana hiyo ndiyo ajenda mpya ya chama chake.Angalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania yanasababishwa na Magufuli au CCM. Katambi amesema matatizo hayo ni ya kihistoria yamesababishwa na ukoloni wa zamani ulioondolewa na ukoloni mamboleo.
Amesema matatizo yaliyopo ni 'shared' ambayo ya ni ujinga, maradhi, umasikina na sasa ufisadi. Amesema shared enemy tuliyenae leo ni ukoloni mamboleo ambao wanakuja kupora rasilimali.
Amesema Lissu anayeungana na Zitto Kabwe leo ndio aliyesoma mashtaka ya Zitto kumuondoa CHADEMA wakisema ni msaliti, kinyonga na mnafiki. Wanasema aliondolewa kwa sababu alitaka kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi yake binafsi.
Moja ya mashtaka amedai alipewa fedha akauza majimbo kanda ya ziwa mkoa wa Mara na alipewa gari pamoja na milioni 40 na Mkono.
Amesema wamtafute mtu kama yeye wafanye nae debate, wasimtafute mtu mkuubwa kama Magufuli kwani hawana hio audacity wala moral authority bali ni saizi yao.
Anasema Zitto alietuhumiwa CHADEMA kwa mambo mengi ya hovyo mpaka Lema kusema bora kumuamini shetani kuliko Zitto Kabwe na amedai ACT ni zao la Membe kwani limetengenezwa na timu ya Membe ili kuweza ku-counter CHADEMA wakati huo..
Angalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania yanasababishwa na Magufuli au CCM. Katambi amesema matatizo hayo ni ya kihistoria yamesababishwa na ukoloni wa zamani ulioondolewa na ukoloni mamboleo.
Amesema matatizo yaliyopo ni 'shared' ambayo ya ni ujinga, maradhi, umasikina na sasa ufisadi. Amesema shared enemy tuliyenae leo ni ukoloni mamboleo ambao wanakuja kupora rasilimali.
Amesema Lissu anayeungana na Zitto Kabwe leo ndio aliyesoma mashtaka ya Zitto kumuondoa CHADEMA wakisema ni msaliti, kinyonga na mnafiki. Wanasema aliondolewa kwa sababu alitaka kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi yake binafsi.
Moja ya mashtaka amedai alipewa fedha akauza majimbo kanda ya ziwa mkoa wa Mara na alipewa gari pamoja na milioni 40 na Mkono.
Amesema wamtafute mtu kama yeye wafanye nae debate, wasimtafute mtu mkuubwa kama Magufuli kwani hawana hio audacity wala moral authority bali ni saizi yao.
Anasema Zitto alietuhumiwa CHADEMA kwa mambo mengi ya hovyo mpaka Lema kusema bora kumuamini shetani kuliko Zitto Kabwe na amedai ACT ni zao la Membe kwani limetengenezwa na timu ya Membe ili kuweza ku-counter CHADEMA wakati huo..
Katambi ni DC wa wapi ?Angalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania yanasababishwa na Magufuli au CCM. Katambi amesema matatizo hayo ni ya kihistoria yamesababishwa na ukoloni wa zamani ulioondolewa na ukoloni mamboleo.
Amesema matatizo yaliyopo ni 'shared' ambayo ya ni ujinga, maradhi, umasikina na sasa ufisadi. Amesema shared enemy tuliyenae leo ni ukoloni mamboleo ambao wanakuja kupora rasilimali.
Amesema Lissu anayeungana na Zitto Kabwe leo ndio aliyesoma mashtaka ya Zitto kumuondoa CHADEMA wakisema ni msaliti, kinyonga na mnafiki. Wanasema aliondolewa kwa sababu alitaka kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi yake binafsi.
Moja ya mashtaka amedai alipewa fedha akauza majimbo kanda ya ziwa mkoa wa Mara na alipewa gari pamoja na milioni 40 na Mkono.
Amesema wamtafute mtu kama yeye wafanye nae debate, wasimtafute mtu mkuubwa kama Magufuli kwani hawana hio audacity wala moral authority bali ni saizi yao.
Anasema Zitto alietuhumiwa CHADEMA kwa mambo mengi ya hovyo mpaka Lema kusema bora kumuamini shetani kuliko Zitto Kabwe na amedai ACT ni zao la Membe kwani limetengenezwa na timu ya Membe ili kuweza ku-counter CHADEMA wakati huo..
WajumbeeMasele! Masele kammaliza.
Ndio maana hapati mke wanamkimbia maana ana meno kama li mzoga lililofia shambani kama wiki moja hivi iliyopita ndio linakuwaga na meno nje nje hivyo
eti ngiriHuyu NGIRI anajivua nguo kiasi hiki?
Sureakaongee na wajumbe
Huyo Katambi, mhesabuni kuwa ni mwendawazimu. Hana hadhi ya kujadiliwa na watu wenye akili. Ignore him. He is a hopeless mind.Angalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania yanasababishwa na Magufuli au CCM. Katambi amesema matatizo hayo ni ya kihistoria yamesababishwa na ukoloni wa zamani ulioondolewa na ukoloni mamboleo.
Amesema matatizo yaliyopo ni 'shared' ambayo ya ni ujinga, maradhi, umasikina na sasa ufisadi. Amesema shared enemy tuliyenae leo ni ukoloni mamboleo ambao wanakuja kupora rasilimali.
Amesema Lissu anayeungana na Zitto Kabwe leo ndio aliyesoma mashtaka ya Zitto kumuondoa CHADEMA wakisema ni msaliti, kinyonga na mnafiki. Wanasema aliondolewa kwa sababu alitaka kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi yake binafsi.
Moja ya mashtaka amedai alipewa fedha akauza majimbo kanda ya ziwa mkoa wa Mara na alipewa gari pamoja na milioni 40 na Mkono.
Amesema wamtafute mtu kama yeye wafanye nae debate, wasimtafute mtu mkuubwa kama Magufuli kwani hawana hio audacity wala moral authority bali ni saizi yao.
Anasema Zitto alietuhumiwa CHADEMA kwa mambo mengi ya hovyo mpaka Lema kusema bora kumuamini shetani kuliko Zitto Kabwe na amedai ACT ni zao la Membe kwani limetengenezwa na timu ya Membe ili kuweza ku-counter CHADEMA wakati huo..