Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Hawezi kuchomoka hapo hata Membe inasadikiwa kwamba ana Canadian passport, sheria ipo wazi.Kwa hii Lissu atachomoka?
Imethibitishwa pasi na shaka kwamba jamaa ana uraia wa ubelgiji aliochukua kwa kigezo cha hofu ya shambulio la kisiasa 'fear of political persecution'
Katiba yetu hairuhusu uraia wa nchi mbili, je Lissu ana haki ya kugombea urais wa Tz na kupita mchujo wa tume ya uchaguzi?
Nimesikia uhamiaji wameshagusia suala la wagombea kuwa watanzania kwa maana iliyo ya kikatiba.
....will appreciate if i get comments from lawyers