Katambi: Jeshi la Polisi haliteki bali linakamta

Katambi: Jeshi la Polisi haliteki bali linakamta

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,911
Reaction score
6,500
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amesema Serikali wala jeshi la polisi haliteki bali linakamata

Serikali haiteki" bali "serikali inakamata mhalifu. Ikiwa mtu amekamatwa na vyombo vya dola, huo unaitwa ukamatwaji na si utekwaji.

Soma Pia: Katambi: Tuwatie moyo askari, tusiwatweze na kuwaumiza wamejitoa maisha yao

Upelelezi unapaswa kuwa umefanyika, na askari wanatakiwa kujitambulisha wanapomweka mtu chini ya ulinzi


 
Watasema Yote Kila Mmoja Kwa Lugha Yake
 
Amesema kutekwa ni kosa kisheria au nimemsikia vibaya ? Nilitegemea iwe kuteka ndio kosa kumbe ni kutekwa😃
 
Back
Top Bottom