Kataa Ugali, Ugali ni Mateso

Kataa Ugali, Ugali ni Mateso

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
571
Reaction score
1,829
Kwa nini ule vyakula vya wanyama.

Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.

Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer

Kwanini ule kitu kisochokuwa na vitamin and mineral deficiencies,

Kwanini ule MATOFALI



 
Kwa nini ule vyakula vya wanyama.

Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.

Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer.

Kwanini ule MATOFALI




Hata Wali, viazi, ngano, zote ni mbaya, similar to ugali; ugali ni Chakula kinachotambulisha u Tanzania wetu, sasa mshaanza kujiona ni Bora kuliko asili, rubbish
 
Wabongo wakishaanza kupata mia mbili mia mbili utajua tu.

Ugali ndiyo ulimkuza bibi mzaa baba,baba na hatimaye ukakulea,Leo unakuja kuusimanga.

Hela za sisiem zimeshaanza kuwapa jeuri mtaani kiasi cha kuona ugali ni adui wa taifa?
 
Kwa nini ule vyakula vya wanyama.

Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.

Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer.

Kwanini ule MATOFALI



Ni mtazamo wako tu. Ugali ni menu moja safi sana... Hasa ukipata compatible suppliments.
 
Ugali ndio chakula cha taifa, ilitakiwa iwe kwenye katiba
1000042435.jpg
 
Kwa nini ule vyakula vya wanyama.

Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.

Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer

Kwanini ule kitu kisochokuwa na vitamin and mineral deficiencies,

Kwanini ule MATOFALI



 
Back
Top Bottom