Stability
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 571
- 1,829
Kwa nini ule vyakula vya wanyama.
Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.
Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer
Kwanini ule kitu kisochokuwa na vitamin and mineral deficiencies,
Kwanini ule MATOFALI
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Kwa nini ule kitu ambacho kina nafasi kubww ya kukufanya uwe na mwili usio eleweka.
Kwa nini ule kitu kinachoweza kukuleta high blood pressure na cancer
Kwanini ule kitu kisochokuwa na vitamin and mineral deficiencies,
Kwanini ule MATOFALI
Naungana na Dr Hayaland, ulaji wa ugali ni mateso, no wonder wenzetu wanalishia nguruwe na ng'ombe
Kwanza Mwili unakuwa hauweleki kabisa, watu wengi wameambulia kuwa vijeba kisa ya ugali au miili ilijitengeneza utafikiri scooby dooby doo. Ugali, haswa unapokobolewa, una index ya juu ya glycemic, kumaanisha kuwa inaweza kusababisha kuongezeka kwa kasi kwa viwango vya sukari kwenye damu...
Nina miaka mitano sijala UGALI
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali. Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa. Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym. "Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?