π Kwamba jamaa anajulikana kama nan? πNdugu matusi sio ustaarabu. Hata kama unajulikana kama mngese tuliye naye humu JF haivutii kulazimisha kila mwanaJF kufahamu hiyo tabia yako. Kuwa mstaarabu.
Kweli kbsa kuna vitendo vya kutisha wanafanyiwa aisee. Hata Malaya wengi ni Hali ngumu ya maisha hawapendi.Asilimia kubwa wanaume wanaficha sura wanawake wanafanywa kama kitu duni cha kuchezea kama mwendeshaji Atakavyo that not fair..is not good indeed above all wanafanya to kwasababu ya pesa hawapendi wengi wao jua hilo hawapendi ni shida tu.
ipi nzuri.Haifai hiyo!
Sawa mkuu, hongera kwa tafitiSiongei kwa kuropoka
Ila nitafiti zimefanyika
Alafu ili swali wengi wanauliza kwa sababu wameona matokeo ( wamekuwa weak)
Google au tafuta YouTube: Porn make you gay
Unakataa raha ya dunia?Naamini kuna kitu Uliwahi Kujutia kufanya katika Maisha,
kuwa wazi tu nn ?
Kwa upande wangu.
when I was on the O level school , my Neighbor brother came in our room with laptop full of por. n..Graph
I watched it and later I continued to look for it
Najutia Hiyo ..Nilifanya makosa sana , na staki kuona Huo ni uchafu wenye Gereza kubwa sana
#Kataapicha za ngono ,n chafu, ni mbaya Hazina maadali zinadhalilisha Wanawake ..na jamii na kuchafua akilj yako.
I don't like it .
Bora unisaidie maana mimi watu wanaojibaraguza na kujifarangua kama hawa huwa siwaelewi hata kidogo.Kwanini umetaja wanawake tu? Picha za ngono wanafanya wanawake tu?
Elewa wote wanao fanya wale wanawake ni shida tu zinapelekea , Hawapendi .
Angalia wanaume wanaficha sura idadi kubwa yake.
Alafu mwanamke wanafanywa kama tambara la deki kusafisha , tango la mwanaume kuanzia mdomoni mwake mpaka sehemu nyingine is not correct yeah Trust Me.. Wanawake ndio wanakuwa oppressed mnoo.
Bora unisaidie maana mimi watu wanaojibaraguza na kujifarangua kama hawa huwa siwaelewi hata kidogo.
Mle katika picha za ngono wanaume nao wanavua nguo na kuonyesha makalio na korodani zao, makalio ya mwanaume kikatiba ni nyara za kiume hazitakiwi kuonekana popote bila kibali maalumu kutoka baraza kuu la wanaume taifa na maamuzi ya kikao kikuu cha kamati ya nidhamu ngazi ya taifa ya kinachosimamiwa na mrakibu wa maadili ngazi ya taifa.
Sasa hajaona hilo anaanza sema wanawake wanadhalilika,wanaume je?
Si ndio hapo.Kimsingi wote wanadhalilika
Uhalisia ni upi?Halafu unajua wanawake wengi sana wanawaza hivi ila kiuhalisia sio kweli yaan kuna uongo mwingi sana watu wanatunga
Chudai zimekuharibu, mwanaume rijali haulizii uzuri akitaka kusimamisha..!!Ni Dm ili tufanye test utaleta mrejesho Mwenyewe kigezo at leat Uwe mzuri ..uzuri unaleta muukari zaidiπ
Hujaelewa mada. Hapa tunaongelea picha za ngono. Hakuna mwanaume aliyekua programmed kutazama picha za ngono.Ni sawa na kusema Kataa kula chakula, Si support hayo mambo, Lakini hiyo ni nature ya mwanaume yoyote, Ndivyo Mungu alivyoumba ili tuweze kuzaliana, Lazima utamani wanawake, especially kabla haujaoa. Sasa katika kutamani ndiyo kuna levels, Lakini yote kwa yote hivyo ndivyo Mwanaume yyt alivyokuwa programmed.
Mule kwenye Onlyfans nafataga tu pisi za South africa aisee wale watoto ni wamotoNilikuwa nacheki Trailler ya onlyfans nilivyoona huu uzi tu nimestop chap.
Wacha nilale zangu.
Kwa hisani ya Mbanga jr
Noma mkuu, Usiwe unasahau kuclear browser data niliwahi kuumbuka.Mule kwenye Onlyfans nafataga tu pisi za South africa aisee wale watoto ni wamoto
Hongera Sana,hizo nguvu kafanyie kazi zingine!Ndio mkuu, hapa kati sina mali kabisa niko ovyo π tena kimoja chali
Kifo cha kokrochi,Miguu juu ya mabega,kiubavu ubavu e.t.cipi nzuri.