Kata ya Mpwayungu mtu mmoja kajitokeza kwenye ukarani na maudhui, NBS hapa mmepwaya

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,842
Majina ya walioomba sensa ni aibu tupu, mmekaa na majina mda mrefu mkisema mnahakiki kwa umakini lakini cha ajabu huyu mtu kajitokeza kwenye ukarani wa sensa tena kajitokeza kwenye usimamizi wa maudhui, je huyu mtu aliombaje nafasi mbili tofauti kwa majina hayohayo. Halafu ndomnasema jobless wataharibu kazi, ehe vipi nyinyi kutoa jina moja nafasi mbili tofauti mko sahahihi?

Huyu kijana kajitokeza namba nane kwenye usimamizi wa maudhui, tena kajitokeza namba 24 kugombania ukarani. Ili akikosa kwenye maudhui atapata ukarani. Ngoja tuone mwisho wake.

Picha zinajieleza.

img_1658051868158.jpg
 
Inamana hamkufanya uhakiki wa kutosha? Hii nchi bora tuwe tunatuma maombi kwa njia ya posta tu maana mifumo ya IT Tupo poor sana ndomana tunakosa Imani hata kuomba ajira za ualimu, afya, TRA na nyingine nyingi tukiamini hakuna kinachofanyika.

Screenshot_20220717-125041_3.jpg
Screenshot_20220717-125102_3.jpg
img_1658051868158.jpg
 
Hapo uhuni umefanywa Serikali za mitaa I mean kata au Halmashauri, kitendo Cha NBS kukasimu mandate ya zoezi hili Serikali za mitaa mtaona Mambo ambayo hamkufiria kutokea.

Yaani aibu kubwa Sana hii, namba ya NIDA ilikuwa haiwezi kutumika zaidi ya maramoja na mtu hawezi kuomba nafasi zaidi ya moja kwa Mara moja ,je hilo limewezekana vipi?
 
Hapo uhuni umefanywa Serikali za mitaa I mean kata au Halmashauri, kitendo Cha NBS kukasimu mandate ya zoezi hili Serikali za mitaa mtaona Mambo ambayo hamkufiria kutokea.

Yaani aibu kubwa Sana hii, namba ya NIDA ilikuwa haiwezi kutumika zaidi ya maramoja na mtu hawezi kuomba nafasi zaidi ya moja kwa Mara moja ,je hilo limewezekana vipi?
Sindonashangaa hata mimi mkuu, yani hili Taifa la kibaguzi sijui tulilaniwa nakinanani
 
Hapo uhuni umefanywa Serikali za mitaa I mean kata au Halmashauri, kitendo Cha NBS kukasimu mandate ya zoezi hili Serikali za mitaa mtaona Mambo ambayo hamkufiria kutokea.

Yaani aibu kubwa Sana hii, namba ya NIDA ilikuwa haiwezi kutumika zaidi ya maramoja na mtu hawezi kuomba nafasi zaidi ya moja kwa Mara moja ,je hilo limewezekana vipi?
Ulikua unaweza kuforge namba ya nida alafu baadae unaedit mimi nlifanya ivo nliomba sehem mbili na kote majina yametoka ila siwezi kwenda nauliza je kutakua na loop ya kuingiza watu wapya?
 
Ulikua unaweza kuforge namba ya nida alafu baadae unaedit mimi nlifanya ivo nliomba sehem mbili na kote majina yametoka ila siwezi kwenda nauliza je kutakua na loop ya kuingiza watu wapya?
Duh je hawakuweza kujua huyu mtu kaomba mara mbili? Sisi kitengo cha ict bado sana, hata ualimu Kuna jamaa alichakachua mtambo akaomba shule zote za mikoa yote zilizowekwa, alikosa nafasi
 
Hapo uhuni umefanywa Serikali za mitaa I mean kata au Halmashauri, kitendo Cha NBS kukasimu mandate ya zoezi hili Serikali za mitaa mtaona Mambo ambayo hamkufiria kutokea.

Yaani aibu kubwa Sana hii, namba ya NIDA ilikuwa haiwezi kutumika zaidi ya maramoja na mtu hawezi kuomba nafasi zaidi ya moja kwa Mara moja ,je hilo limewezekana vipi?
Inawezekana mkuu tena sio kosa la nbs, kuna namna ya kucheza na system tena haiitaji hata elimu nyingi ya it.
 
Back
Top Bottom