Kasulu bado kuna watu wanalalia vya miti!

Kasulu bado kuna watu wanalalia vya miti!

Sorokotokuli

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Nikiwa maeneo ya soko la shayo nashangaa kuona lundo la vitanda vilivyo tengenezwa kwa miti kama vichanja,namuuliza muuzaji bei gani kitanda kimoja nchi 5 kwa 6 bei ni elfu 8000/=tsh! Du leka tutigite! Jamaa anatafuta mtu wakala maeneo mbalimbali! Nchini Contact +2557857733755
 
Back
Top Bottom