emma-chriss
Senior Member
- Mar 16, 2011
- 100
- 16
Kuna jamaa alinunua kasuka ambaye alishindwa mfuga kwa sababu alikua anatukana sana. Jamaa akaamua kumrudisha ili apewe mwingine au arudishiwe pesa yake. Alipo fika kwa muuza kasuku mazungumzo yalienda hivi;
MTEJA: Huyu kasuku simtaki anatukana sana.
MUUZAJI: Nitakupa mwingine mwenye uwezo wa kuongea lugha nyingi.
MTEJA: Anaongea lugha ngapi?
MUUZAJI: Mbili!
MTEJA: Ipi na ipi?
MUUZAJI: Kingereza na Kifaransa,akinyanyua mguu wa kulia anaongea kingereza,akinyanyua wa kushoto kifaransa!
MTEJA:Akinyanyua yote kwa pamoja anaongea lugha gani?
KASUKU: KU** MAMAKO SINTAANGUKA, EBOH!!!!!
MTEJA: Huyu kasuku simtaki anatukana sana.
MUUZAJI: Nitakupa mwingine mwenye uwezo wa kuongea lugha nyingi.
MTEJA: Anaongea lugha ngapi?
MUUZAJI: Mbili!
MTEJA: Ipi na ipi?
MUUZAJI: Kingereza na Kifaransa,akinyanyua mguu wa kulia anaongea kingereza,akinyanyua wa kushoto kifaransa!
MTEJA:Akinyanyua yote kwa pamoja anaongea lugha gani?
KASUKU: KU** MAMAKO SINTAANGUKA, EBOH!!!!!