Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
Yeah mzima dear, n you?
miss u sana mamy hope u mzima
miss u sana mamy hope u mzima
Yeah mzima dear, n you?
Kwani upo dunia gani yenye ubaridi? Huku kwetu ni joto hata hamu hamna tena..!
Mmmh...we kula tu ujana wako. Japo sio ujana as such, ni uzee katika mentality ya ujana...
Ukipiga mechi tujuze...!
Bado niko Abu @Dhabi na kuna mjeda mmoja tangu nifike ananiangalia kwa jicho la husda... nahisi anaweza fanya vacation yangu ikaishia hapa.... six pack mwee!! udenda kuntoka Kasie
Teh teh mambo ua tegeta escrow. ...na mi safari hii nitakua..... manaake huu mgao wa 1.6b cjui nitamaliza lini
Me mzima kabisa jaman hof kwako
Mie ni mnyamwezi asilia nimekuzwa na matobolwa nakaranga na asali. Kasie mie mla ujana fujo nyin
Hasa range sport, nissan patrol new model, grand cars, harrier new model, audi, cadillac, muranno... IVO.
teeeeh, haya bwana..enjoy mavituz huko abu dhabiWeeh shauri yako itatoboa boksa hiyoo maana itasimama bila kushuhulikiwa...
acha kutupiga fiksi hapa juzi nilikuona kwenye treni ya mwakyembeSea shell ila ntatua mahali flani (Abu Dhabi) kwanza kwa siku7 kisha niende sea shells. Karibu twende life is to live, lets enjoy and have fun.