Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Bomu la ajira kwa vijana ndio linataja kulipuka.Hata askari wanaogopa na wahalifu au sijui wanashirikiana nao?!! Sijui tufanyeje
pole sana...
Je simu zako zina picha zako..za uchi?
Aiseeeeeee....!!!!
jmosi nilitapeliwa, ni elfu kumi tu ila inaniuma hadi leo. Nawaza sijui niwaset maaluni wale, japo itakuwa process ya zaidi hata ya laki moja.
hahaa weeweee hapana huwa nadelete immediately hata ikitokea zikawepo.
Owkey....
labda kabla haja send kamtumia mtu lol...
some lucky dude ....:biggrin1: