Kasinde mie nimechoka kabisa...!

Kasinde mie nimechoka kabisa...!

Bomu la ajira kwa vijana ndio linataja kulipuka.Hata askari wanaogopa na wahalifu au sijui wanashirikiana nao?!! Sijui tufanyeje
 
jmosi nilitapeliwa, ni elfu kumi tu ila inaniuma hadi leo. Nawaza sijui niwaset maaluni wale, japo itakuwa process ya zaidi hata ya laki moja.

huwezi amini, imeniuma hadi nikawaza ninunue uchawi huyo mwizi awashwe mwili mzima halafu awe anahisi anatambaliwa na nyoka ila hamuoni usiku na mchana bila kupumzika kisha nikiweka hilo tego nafunga loki hata aende pemba haliteguki basi tuu sina uwezo huo...
 
Pole mwaya.... ndo maisha hayo. Huli chamtu lakini wenzio wanajinyakulia fursa...! samehe usiweke moyo wa kulipiza kisasi...
 
Duh! Sikupatii picha machungu iliyonayo...kazi kubwa hapo ni vitambulisho na namba za simu. Pole weee......
 
Back
Top Bottom