pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Pooole sana kwa yaliyokukuta ..Wallah naapa nikikuta mahali mwizi kakamatwa anapigwa, mie ntachukua prize tuu kisha nafungua zipu yake na kuminya yale mayai mawili hadi aombe poo baaas!! so kuanzia sasa hv natembea na prize kwenye pochi.
Lakin nan kakwambia kwamba wezi wanakuwaga wanaume tu?
.
.
Na unajuaje kama aliyekuibia siyo mwanamke?
.
.
Na siku ukikuta mwanamke ndio mwizi kaiba anapigwa utamfungua wapi ubinye nini mpaka aone baaas aombe poo?