Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
tatizo huyo jamaa yupo humu anakuangalia tu.
we waache tu, ngoja nijifanye kama siwaoni
tatizo huyo jamaa yupo humu anakuangalia tu.
Habari zenu wapendwa,
Jioni hii wakati narudi nyumbani nikiwa kwenye foleni ndani ya kibito changu mdogo mdogo from Posta town city to home daaah!
Tulikutana uso kwa uso na kijana aliyekuwa akiendesha nissan patrol namba T...AQN mweeh! Ilikuwa akinitazama gari zikisogea nami namtazama ukawa ndo kamchezo.
Baada ya kupita mataa ya maktaba tukapotezana nyomi lilikuwa kali balaa hee kuja kustuka maeneo ya DSTV pale karibu na st. Peters kijana huyu hapa akanitupia jicho nami nikamtizama hahahhaaaa!
Gari zikasogea mdogo mdogo akanipungia mkono nikabaki whaaaooo!
Nikafreez sikuweka ku wave back so sad we were parting baada ya kufika mbuyuni yeye akaelekea namanga mie nikanyoosha to morocco.
Ila baada ya kumpita akisubiria jukata namanga nilimpungia sjui kama aliona...
Guy your wave left a smile on my face and double heart beats on my heart till I realise that am in crash with you nissan guy.
So sad hatufahamiani hata majina but I enjoy your looking, good night!
Ila usingizi hauji sasa.......!! daah!!
Heheh...tunakrashiana hapa mkuu :shut-mouth:
..ha ha..!!! Mkuu, Una Nissan patrol new model??
Heheh...tunakrashiana hapa mkuu :shut-mouth:
tatizo huyo jamaa yupo humu anakuangalia tu.
Now was it the guy or the car?
Who is gonna hump you? The guy or the car?
Who is gonna hold ya?
SMDH.
mie siangalii usafiri bana mie nilikoshwa na il look ya kijana na punga yake mie nyoronyoro sasa sjui watu8 ataweza punga na nitazama hivo.....
we waache tu, ngoja nijifanye kama siwaoni
hahahahaaaa watu8 bana anataka kuchukua nafasi ya nissan guy, sasa nissan guy mwenye hadi saa hola jana nilikuwa kwenye bajaji sikuwa na gari hivo sikuonanan nae na jana hakukuwa na foleni so sad, sjui hata kama tutaonana tena....
au watu8 ndo kanizibia kwa huyu nissan guy ili yeye atake over...
Hahahahaaa will call u soon...😛hone:
Hahaha Nissan guy kwa bahati mbaya haijui hata jeiefu...
Kasinde leo itabidi nije hapo nanihiii mbele ya hilo jengo la nanihii hapo, ningoje nami bajaj huenda nikakuona