kasinde is in a crash with...!

kasinde is in a crash with...!

wakaka wa mujini wanakamataga wadada wengi kwa staili hiyo hiyo. halafu wakiwa kwenye gari ndio wanazidi kuonekana mahb, angekuwa anatembea kwa miguu pengine hata moyo usingestuka.

ni kweli ila daaah a crash.....!!!
 
Hyo avatar ndo sura yako??

hahaaaa ..... naomba nisijibu swali lako kureserve my dots watu wakikonekti tuu dots ntakazosema hapa watanijua hadi nyumbani kwangu halafu itakuwa balaa...
 
Hahahahaaaa. I too have been there.
You dont wanna know how the story ended.

smdh means shaking my damn head.

Please come out and tell a story, what happened?? how did it end?? pleaseeee...
 
hahahaaa!! I was wet in my heart but my pant was dry.... loooh I can see what u were thinking hahahaaaa

Hahah afadhali...

Nikajua dereva Nissan kazua balah kwa bi mkubwa weye...
 
Ile helmet yangu ilifanya nishindwe kukuona vizuri, ila kama uliinamia mkono wa kushoto sana nkajua ni kagia pale. automatic yako jamani si unapress tu kagia au ni zile zinazobadilika kadiri unavyokanyaga wese? Hahahaaaaa

You are adorable!!!!!! and you ve ocupied my mind toka jana!!!!!!. Plz turn to this Toyoman if the Nisan man never shows up!! LoL!!!
hahahaaaa it wasn't me then mie bito yangu ni automatic na si manual
 
wakaka wa mujini wanakamataga wadada wengi kwa staili hiyo hiyo. halafu wakiwa kwenye gari ndio wanazidi kuonekana mahb, angekuwa anatembea kwa miguu pengine hata moyo usingestuka.

Kumbe ndo maana sie wasaga soli hatucrashiwi, mi sikumbuki kupitana na mdada akawa na crash kwangu, au sura yangu ya kiazi inachangia pia!!!
 
Kumbe ndo maana sie wasaga soli hatucrashiwi, mi sikumbuki kupitana na mdada akawa na crash kwangu, au sura yangu ya kiazi inachangia pia!!!

heheheehe!!! hiyo sura ya kazi ingekuwa ndani ya nissan lazma ungekrashiwa. jaribu uone.
 
Ile helmet yangu ilifanya nishindwe kukuona vizuri, ila kama uliinamia mkono wa kushoto sana nkajua ni kagia pale. automatic yako jamani si unapress tu kagia au ni zile zinazobadilika kadiri unavyokanyaga wese? Hahahaaaaa

You are adorable!!!!!! and you ve ocupied my mind toka jana!!!!!!. Plz turn to this Toyoman if the Nisan man never shows up!! LoL!!!

Hahahhaaaaa Tized it wont be the same
 
heheheehe!!! hiyo sura ya kazi ingekuwa ndani ya nissan lazma ungekrashiwa. jaribu uone.

Ngoja nijitahidi kuzichanga, ila hadi nifikie kuishika Nissan atakuwepi wa kuihuisha nafsi yangu, nitaendesha vioo tinted.
 
Ile helmet yangu ilifanya nishindwe kukuona vizuri, ila kama uliinamia mkono wa kushoto sana nkajua ni kagia pale. automatic yako jamani si unapress tu kagia au ni zile zinazobadilika kadiri unavyokanyaga wese? Hahahaaaaa

You are adorable!!!!!! and you ve ocupied my mind toka jana!!!!!!. Plz turn to this Toyoman if the Nisan man never shows up!! LoL!!!

Hahahhaaaaa Tized it wont be the same
 
mapenzi ni kitu cha ajabu sana kalunde.... go ahead thinking about him.... go deeep down!



Thanks excel, yaani all the way home I was thinking about him hadi nikajikuta naimba ule wimbo, I've been thinking about you, I've been thinking about you... na sasa naimba ulr wimbo wa Am in love, love, love, with the D DJ, yes am in love love love, love in love with the D DJ yes am in love, oohh yes I am.....
 
Last edited by a moderator:
Kweli naona ulipenda gari maana jana nilibadili gari nikawa kwenye IST nikakutupia jicho kama nilivyoahidi hata hukunijali, any way naomba nikija ofisini na Nissan tena usiitamani maana nimegundua uliipenda gari sio mimi.
 
Thanks excel, yaani all the way home I was thinking about him hadi nikajikuta naimba ule wimbo, I've been thinking about you, I've been thinking about you... na sasa naimba ulr wimbo wa Am in love, love, love, with the D DJ, yes am in love love love, love in love with the D DJ yes am in love, oohh yes I am.....

mbona sasa waniimbia mie wallahi?! hivi ulipatia wapi hio coincidence?
 
Hili ni swali la kumuuliza mwanaume kweli bi dada?

Kwanza kwa namna uandikavyo nahisi moyo wangu ushakudondokea....

Hahahaaaa jamani nijibu basi maana swali ndo nshaliuliza hivoo
Hahahaaa mwandiko tena umekufanya unicrash jamani nissan guy atasikia wivu looh au ndo wewe unajikausha tuu hapa....??
 
Back
Top Bottom