kasinde is in a crash with...!

kasinde is in a crash with...!

Heheheh usicrash mchezo chezea nissan na kibito weye......

Ila serious ukipendwa oendeka

Ukipungiwa pungukika

Ukitamaniwa tamanika

Usiku mwema
 
Na leo kulivyokuwa na foleni plus hali ya hewa nyevu, sina uhakika kama kufuli lako lilipona na mvua za masika...
 
Nakukumbuka nlivyokupita na ka TOYO kangu T...CFK upande wako nkakucheki ukajidai unabadili gia dakika zote izo pale karibu na ubalozi

Hata sisi wa toyo tuna mvuto sana tu sema ningevua helmet pale traffic angepiga cha juu.

Just thinking of you Kibito lady

Hahahahah

Kitoyo hakina mvuto

Mpaka uvue helmet leo????!!!!
 
Na leo kulivyokuwa na foleni plus hali ya hewa nyevu, sina uhakika kama kufuli lako lilipona na mvua za masika...

hahahaaa!! mule mule!

kajimaliza mwenyewe theoretically!
 
Hahaaa. Tunachukiaje?

Inabidi ninunue ile helmet ilio kaka kofia hivi manake hizi crash tutaishia tu kuzisikia kwa wenzetu wa matairi manne tu kama hatutachukua hatua za makusudi.... hahahaaaa

Afu mjue wengine toyo tunatumia tu kwa hobi.. LoL
Hahahahah

Kitoyo hakina mvuto

Mpaka uvue helmet leo????!!!!
 
Hadi raha . Keep looking , maybe just maybe
He is the one lol . Hope you are both single & " searching "
-🙂
 
Maasikini weee! kanissan boy kashakutoka... ila usijali hakikisha mida kama ile ile unakua maeneo yale ndani 1week lazima umkamate..
 
Uliniingia ungenipungia mkono mara nilivyokupungia ningefuata kwa nyuma hata kama unaishi Tegeta au Bunju, usijali Kasinde tutaonana tena kesho maeneo ya maktaba kama si foleni nitakuwa maeneo yale mida ya saa moja unusu, mie nipo bandari TPA na mwenzangu? naomba sasa ulale jamani.

Hahahaaa am not so sure if its u but what happens yesterday was so nice to me, I enjoyed the wave. If its real you gari yangu ilikuwa ya rangi gani na aina gani? Though I know u r joking....
 
Hiyo inatokeaga dana afu kama wewe hapo ulikuwa unatamani umfate namanga kama nakuona vile mlivyopotezana kwenye foleni ukawa unapepesa macho. KakaKiiza embi tusaidie nissan.....AQN hapo namanga si ya msafiri kweli??

hahahaaaaaa yaani amu kama ulikuwepo, yaani baada ya kunipungia na mie kushikwa na kiwewe na kushindwa ku wave back niliduwaa kama dakika 5 kuja kuchungulia kumbe yeye anaelekea namanga na mie naelekea morocco loohh!! Macho yalinitokajeeee!!!! pima ndo nikapunga kwa mbali sjui kama aliniona daaah!!!! na sijui kama tutaonana tena.......
 
Duuuh, mapenzi yana siri kubwa.
Subiri PM yake, lazma yupo jf na in no time he will inbox you....Mengine utaleta mrejesho!!!

Yaani yana siri nzito sana, sijui kama atatokea he look so polite and mstaarabu, he was alone in a acar and I was alone. Sidhani hata kama atakuwa anaingia jf, I dont know may be, let me see, may be anaweza niibukia pm mmmmhhhh. A situation like this never happen before na udereva wangu wote huu wa bongo ya jana was superb!!
 
kwa mtindo huu itabidi tununue ma nissan tu tuonekane. hata tinted siweki
 
3_inventory25177_1393333453.jpg

ahahahaaaa tayta jamani the car was not like this one, it was another model, the next one after this model loooh
Thanks anyway pia yenyewe haikuwa tinted yaani.... ingekuwa tinted ningemuonajee...
 
Nakukumbuka nlivyokupita na ka TOYO kangu T...CFK upande wako nkakucheki ukajidai unabadili gia dakika zote izo pale karibu na ubalozi

Hata sisi wa toyo tuna mvuto sana tu sema ningevua helmet pale traffic angepiga cha juu.

Just thinking of you Kibito lady

hahahaaaa it wasn't me then mie bito yangu ni automatic na si manual
 
Ooooh!!!! tommorow the same time i will be in the same way byb

Hahahaaa I dont think it will happen again, maana siku za kutoka kazini hazifanani sku ingine unawahi skuingine unachelewa. Halafu skuingine nakuwa sina gari napanda bajaji looh so ......... am sad to miss him but am happy to have a wave and a a smile...
 
Hapo utakua umependa nissan kwa vile wewe umo ndani ya vitz yako ya mkopo, mbona ma hb kibao tunao endesha boda boda na Bajaj unatuona na sana sana unatubania hata site tu?

hahahahaaaaa hayo ni mawazo yako tuu, wala sikuizimia gari maana ziko kali zaidi ya nissan, ni yule kijana ndani ya gari ndo alinihemua nikahemka hata nikashindwa ku wave back...
 
Back
Top Bottom