Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.
Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.
Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.
Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.
Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.