Kasi ya utendaji wa Rais Magufuli yasababisha idadi ndogo ya wananchi kujitokeza kujiandikisha uchaguzi Serikali za Mitaa

Kesi ya msingi ya Mbowe na Esther Matiko kuwekwa ndani ilikuwa maandamano ya kupinga mwenendo na matokeo ya uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Sasa kwa michezo ile ya kuigiza wanataka tena tujiandikishe kupiga kura.
Eti unapanga foleni kuchagua mtu aliye jiudhuru ubunge kisha akarudi kugombea ubunge!, ............... .. watu wazuiwa kuchangia damu, kisa wamejitanabaisha kuwa ni wa itikaka ya chama flani!!!...........ujinga ni mwingi sana ulofanywa awamu hii
 
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
Ficha ujinga wako na matumizi mabaya ya akili Mkuu!
 
Kiranga mkuu watu wengi tulimuunga mkono lakini shida ilianzia pale mtu anapoaminiwa na kuanza kujaa kiburi, unafahamu kua kumzuia mtu mwingine asifanye kitu fulani huku wewe ukikifanya ni dhambi kubwa? Na mtu mwenye mtazamo utafahamu kua siasa ya nchi hii itakua ngumu miaka ijayo itatengeneza kitu kibaya sana, huwezi kusema kila sehemu mlikosea kuchagua upinzani mara marndeleo hayana vyama hapo unakua unaichanganya akili yako mwenyewe na sio ya wale unaowaelezea hayo mambo.
Nakueleea sana mkuu, nakuelewa sana.

Kipindi cha urais wa Kikwete nilikaa na rafiki zangu, tukasema tunamuona Kikwete rais mbaya sana.

Mimi nikasema anayekuja atakuwa anafanya vibaya kuliko Kikwete, kwa sababu Kikwete anaweka msingi wa ajaye.

Na hata sasa tunavyolalamika ubaya wa Magu, tuki boogie kidogo tu, anayek6ja ataona mabaya yote ya Magu ninkawqida, na yeye atazidisha ubaya.
 
Kesi ya msingi ya Mbowe na Esther Matiko kuwekwa ndani ilikuwa maandamano ya kupinga mwenendo na matokeo ya uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Sasa kwa michezo ile ya kuigiza wanataka tena tujiandikishe kupiga kura.
Dunia nzima uchaguzi ambao watu wameugomea unakosa uhalali.

Ndiyo maana sehemu nyingine ambapo uchaguzi ni maigizo wapinzani wanasusia uchaguzi
 
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
Endelea kupaka rangi chooni.
 
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
Ukitoka hapo kwa shemeji yako na kuanzisha maisha binafsi ya kujitegemea utakuja kujutia huu uzi wako

Kidemokrasia isue ya uchaguzi ni muhimu haijalishi kuna kasi kubwa kiasi gani kuleta maendeleo au hakuna kasi kabsa

Kwa mawazo yako finyu basi nchi zilizoendelea kama Marekani hazina haja ya kuwa na uchaguzi?
 
Udikteta, kukandamiza wananchi hasa wa vyama vingine, kuviingilia vyama kwa lengo la kuvivuruga, kuwanunua au kuwalazimisha viongozi wa vyama vingine kuunga mkono juhudi, kuendesha serikali kwa misingi ya upendeleo wa kivyama, ukabila na undugu, nk, ndiyo sababu hasa ya watu kugomea zoezi la kupiga kura.
Haya yote huandikwa na watu wenye phobia ,,, maendeleo hayaletwi na hayo

Mtalalamika lakn magufuli kawashika
 
Mkuu chagu kama ni hivyo mbona raisi anawatisha MA RC NA MA DC kuwa ndicho kipimo cha utendaji
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
 
Hauna mvuto,kwasababu nyingi tu.
Wagombea wenyewe walikuwa wakiwahamasisha wapiga kura wajitokeze kwa wingi,wakitumia mbinu mbali mbali.Leo kwa mgombea wa upinzani ana hofu ya kuswekwa ndani watadai ametoa rushwa.

Pili sio kama zamani,sasa hivi ukichaguliwa hakuna posho za vikao,unafanya kazi ya kujitolea lakini ukivurunda utasweka ndani chapu chapu.
 
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.
Siafiki wazo lako comrade,Ni kweli comrade Magufuli anafanya kazi nzuri sana,lakini watendaji walio wengi ni mabomu sana,sasa tutawatoa bila uchaguzi?Uchaguzi ndio the only option.Ofcourse tatizo lipo,kulindana ili kujaribu ku-maintain mfumo wa upigaji,wizi na ubabaishaji,lakini wote tukishirikiana,something can be done.
 
Shinyanga, Tanzania
23 Sep 2019
Wananchi watangaza kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa Misungwi
Wakazi zaidi ya 3,000 wa kijiji cha Maganzo kata ya Mondo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, wametangaza kutoshiriki katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu kwa madai ya kijiji chao kutosajiliwa na kupewa 'GN' inayotambulisha mipaka ya vijiji kutoka ofisi ya TAMISEMI tangu mwaka 2008.

Source : ITV Tanzania
Si tunaaminishwa ana support ya watu wa kanda ya ziwa?
 
Maendeleo na yanayoletwa kutonana na utendaji na usimamizi mzuri wa mapato na mali ya umma katika awamu hii ya Tano chini ya rais John P Magufuli imekuwa sababu ya wananchi kuona kuwa haina haja ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Wananchi wengi wanaona kuwa wapige kura wasipige kura serikali ya awamu ya tano itatekeleza maendeleo wanayoyataka.Picha iliyopo kwa wananchi wengi ni kuwa haina haja ya kupoteza muda wakati maendeleo na usimamizi wa mapato ya serikali utakuwepo hata kama wapige kura au wasipige.Kwa ufupi rais JPM amewapa imani kubwa sana wananchi juu ya namna alivyoleta maendeleo kwa muda mfupi na kudhibiti wapiga deals.Leo hii maeneo kama Yombo Vituka na Buza kuna vituo vya afya vikubwa vimekamilika kujengwa.Hivyo hawa wataogombea nafasi serikali za mitaa ni kama kukamilisha matakwa ya sheria tu.Ila imani kubwa kwa wananchi ni kwa JPM ambae analeta maendeleo bila ya kubagua chama au mtu.

Unamaanisha ulichoandika au unajaribu kuona inakuwaje mtu mwenye utimamu ukijifanya mjinga?
 
Hivi akili za Lumumba huwa zikoje??? Yaani watu wakuunge mkono kisha wasusie kuja kujiandikisha!!! Aisee!! Hapo wangekuwa wanafurika vituon na sio kususia!!
Mkuu matokeo tayari yanajulikana kuwa ni lazima sisiem ishinde kwa kila hali ndo maana watu hawaon umuhimu wa kupoteza mda wao bure!!
Yaani umfunge mikono na miguu mpinzani wako afu uwanja ni wako, refa pia ni wako, maandalizi yote ya pambano umefanya wewe kisha uwambie watazamaji waje ukumbini kuangalia pambano ambalo tayari inajulikana ni lazima ushinde!!!!
Nadhani mtoa mada katumia akili kuandika alichoandika, unaweza kusoma ukadhani anachosema anakimaanisha na mwingine unaweza kusoma ukachukulia kama negative.
 
Oktoba 2019
Dr. Lwaitama aungana na Jakaya Kikwete, Nyerere hakupiga mawazo rungu :
Nyerere alikuwa msikivu na hakuona haya kujisahihisha pale alipokosea. Inashangaza viongozi wa CCM kurudi nyuma kufanya yale ambayo Mwl. Nyerere aliona amekosea akajisahihisha.

Anaongeza Dr. Lwaitama, nilidhani viongozi wa CCM wangefuata yale mazuri ya Mwl. Nyerere aliyojisahihisha......mfano Nyerere alikubali siasa za vyama vingi toka mfumo wa chama kimoja, iweje mwaka huu 2019 CCM inarudi nyuma kufufua siasa za kale za chama kimoja kushika hatamu kitu ambacho Nyerere alikiona hakifai, Nyerere akaishawishi Kamati Kuu na Halmashauri ya chama chake kijiamini na wakakubali kwa kutembea kifua mbele huku wakitumia rekodi yao ya ushawishi na kazi nzuri kwa watanzania.

Na anahoji umaarufu wa CCM umepotea vipi kiasi wanaogopa kuruhusu vyama vya upinzani kufanya siasa na kampeni huru na za haki ikiwa kweli CCM ni chama pendwa cha wengI ? !

Source : DarMpya TV

Tusipotoshe watu kuwa Nyerere alitaka vyama vingi lile lilikuwa wimbi duniani kote baada ya Soviet Union kuanguka sema yeye alikuwa smart alicheza siasa vizuri na ndio sababu ya CCM mpaka leo kubaki madarakani, chukulia mfano angekuwa amegoma basi lile wimbi lilivyopita Romania mpaka Ethiopia lingepita huku kwa nguvu. Nyerere was smart alikuwa anajuwa hili ndio CCM wa kumshukuru kwa kubadili mtandao haraka sana vinginevyo angeleta ubishi leo tungekuwa tunaongea mengine.
 
Saiv nina kitambulisho cha taifa kinanitosha kwenye mambo yang. Cha kura taften wa kumpa siwez kupoteza mda wang kwnye mambo ya kijinga. Na mkitaka kutawala miaka 50 nyie tawaleni tu. Ila jua kila lenye mwanzo lina mwisho. Mwisho wenu ukifika nikiwa hai ntaanza tena kupiga kura.
 
Back
Top Bottom