TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
sisi ni wamoja... TATIZO NI CCMTunakujua una ajenda zako. Wewe ni muongo na mchonganishi. Hakuna cha kujiuzulu hapo. MIpango yenu ya CCM/DMV inaanza kusambaratika sasa mnatafuta mchawi. Vipi Diamond anakuja? Vipi Kinana anakuja? Sandaly anafanya kazi nzuri sana na ana sifa na heshima kuliko yule kandidate wenu mliotaka kutulazimishia. Kajipange upya, bibie.