Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar



naona unaanza kuuzunguka Mbuyu kama kawaida ya watu wengine humu...mjomba meli tumeambiwa zimejaa kule baharini kwa sababu hakuna nafasi kule bandari sasa hayo mumbo jumbo unayotuletea hayaingii akilini tunachikitaka ni meli kutia nanga na mizigo yetu itolewe on time.
 
Na wewe uliyeleta shutuma za uongo za Luhigo? Na Dr. Dau nae vipi, anahusika Bandari?

Hayo sio kuzunguka mibuyu ki-zealot zealot?
 
Na wewe uliyeleta shutuma za uongo za Luhigo? Na Dr. Dau nae vipi, anahusika Bandari?

Hayo sio kuzunguka mibuyu ki-zealot zealot?

by the way nimehesabu meli leo ziko 19 kule baharini bado zinashindwa kuingia bandarini


Kuhusu Dau bora ungemuuliza huyo Mwanakijiji aliyeamua kumtaja tena kwenye hii thread
 


Mkuu naungana na wewe japokuwa siungi mkono lugha yako, na jinsi unavyomwita Rais,. Rais anajitia aibu kwa kuwaomba watu waache kazi wakati ana nguvu zote za kuwaachisha kazi na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria. Ni ajabu kusikia anasema atawaambia wakuu wao wawafukuze kazi, sijiui kwanini yeye mwenyewe JK asianze kuwashughulikia wakubwa ambao mpaka sasa bado hajawashughulikia mafisadi. Public opinion ya JK na serikali yake haiwezi kushuka zaidi ya hapa ilipo, iko chini sana until atakapokuwa serious na kazi.
 
Na wewe uliyeleta shutuma za uongo za Luhigo? Na Dr. Dau nae vipi, anahusika Bandari?

Na weye drama queen uliyeleta shutuma za uongo kuhusu Dk. Masau...vipi ile investigation yako?
 
Achana na Mwanakijiji, huyo ni amesha lose his marbles, anadai hakuwaki kusema Dr. Dau hafai wakati alishasema anataka kuona Dr. Dau anaenda mahakamani kuwajibishwa. Nimekutajia wewe Dr. Dau kwa sababu hukuona kwamba discussion za Dr. Dau kwenye thread kuhusu bandari sio off topic, ukazi entertain.

Na Luhigo huyo unaemtusi, kafanya "ushenzi" gani, kala rushwa kivipi, ya nani, lini?
 
Na weye drama queen uliyeleta shutuma za uongo kuhusu Dk. Masau...vipi ile investigation yako?

Ohoooo yale yaleee la haula wa laa kuwata illa billahi lawdhim

lakini to be fair on Kuhani kuhusu Dr Masau investigation ilishakamilika na vielezo vyote vilishaonyesha kuwa ni Tapeli
 

nitarudi natoka kidogo
 
Achana na Mwanakijiji, huyo ni amesha lose his marbles,

Oooh nooo...wewe hutukani watu

Na Luhigo huyo unaemtusi, kafanya "ushenzi" gani, kala rushwa kivipi, ya nani, lini?

Luhigo katusiwa wapi? Ukisema mtu kafanya "ushenzi" hilo ni tusi...au hujawahi kutukanwa bwana mdogo? Kama hujawahi sema utukanwe...nyambaaaaf
 
ok nimerudi

nasikia JK kafanya ziara ya kustukiza kule bandari tena
 
Rais wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA LUTENI KANALI"DR" JAKAYA KHALFANI MRISHO KIKWETE-MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI[CHAMA TAWALA]..MTU MWENYE NGUVU ZA KIMAMLAKA NA UTENDAJI KULIKO WOOTE TANZANIA....ANATEMBELEA BANDARI MARA TATU NDANI YA MIEZI MINNE ...HAKUNA KINACHOFANYIKA ..NA HACHUKUI HATUA ....TUNATEGEMEA NINI KUENDELEA KUMJADILI HAPA-

KWA KIFUPI KIKWETE ANADHALILISHA CHEO NA TAASISI YA URAIS....PRESIDENTS TALK ONCE !!!.....KAMA ANAJUWA AKIENDA HAPATAKUWA NA IMPACT BORA ANGETUMA HATA MKUU WA WILAYA ANGALAU ANGECHUKUA HATUA INAYOELEWEKA-NDIO MKUU WA WILAYA....

HATUNA MTU JAMANI -ANATUAIBISHA!!!!
 
FM
je CHADEMA mbona hawajatoa tamko kuhusu hili la bandari?
 


Naona ameamua kuja mwenyewe ...angeweza hata kumtuma msaidizi...mnamfanya babu yenu sasa.............! bahati tu anapewa taarifa kamili anashindwa kuchukua hatua ....nadhani watu wa bandari na tra wanajuwa hili ndio maana hawamuogopi au kumuheshimu rais...

matokeo kwa aibu ya rais wetu ni kudhalilika kwa cheo chake na sisi wote watanzania..
 
lakini to be fair on Kuhani kuhusu Dr Masau investigation ilishakamilika na vielezo vyote vilishaonyesha kuwa ni Tapeli

Game Theory, ahsante. Lakini what you said about Luhigo is uncalled for. The man served that public company with distinction and honor, sweat and sacrifice, every day and night of his life at Harbors Authority from the morning he went on board as an entry level engineer some thirty odd years ago to the day he retired at the helm of the company. He's one of impeccable integrity, so let's talk when we know what we are talking about.

Otherwise, prove me wrong, Luhigo alifanya "ushenzi" gani na alikua "mla rushwa" kivipi?
 
Nyani Ngabu & Game Theory

Jibuni swali la kuhani............

Mstahiki
 

PM, hapa watu wanazungushana tu kama special effects za filamu.. Bandari anahitajika mtu, mtu ambaye anaaminika kuwa ataweza kuigeuza na ni mtu ambaye lazima awe mwenye kuaminika na Rais. Mtu huyo yupo na atapelekwa bandari, haya mnayoyasikia ni prelude tu..
 
Mzee Mwanakijiji,

Mimi ningekuwa JK nimrudisha LUHIGO bandarini....hii ni kwa kijisafisha na kuokoa hio Kampuni......Very hard to find such Public servant.Kama alivyoweza kumrudisha Dr Idris R. to clean up mess ya Tanesco.
 


Duh! i wish to take back my earlier comments kuwa Luhigo alikuwa ni mshenzi na mla rushwa kwa sababu source yangu haijakamilika...maana nimepewa info kuhusu minongono ya ulaji rushwa wakati wale wadachi walipopewa contract ya kupanua bandari lakini sijapewa taarifa za kutosha kuhusu hilo hivyo ningependa kuwidhraw my initian allegation mpaka hapo nitakapopata credible data
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…