Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
[h=1] Mzee Ngoyai kawaambia kwamba yeye ni Mkristo, na Neno la Mungu linanena waziwazi kuhusu kutii mamlaka iliyojuu:
Warumi 13: 13
Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.[/h]
Warumi 13: 13
Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.[/h]