King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,852
- 95,062
GSM/S.O/HSC hawa watu inabidi wapigwe fine ya mabilioni kwa kuhujumu uchumi,wasiache,Wanaishi maisha ya anasa kwa kutolipa kodi,Uncle Magu wapige fine ya mabilioni hao watu,fedha wanazo nyingi tu,fine haitoathiri kampuni.