masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 789
Mkuu kwa hali tuliofikia Tanzania leo bila ya kutoa rushwa iwe ya cash au ngono kupata kazi ni shughuli pevu..! Sio Polisi tu hata ajira kwenye sekta nyingine zinapatikana kwa mtindo huo wa rushwa au kujuana.. So kwa mtazamo wangu hauko sahihi kumuhukumu alielazimishwa na jamii iliomzunguka kutoa rushwa ili apate uwezo wa kujikimu..
Kwenye kulima ndio hakufai kabisa mkuu.. Umeona wakulima wa korosho wanavyolilia hela zao..? Umeona wakulima wa mahindi Rukwa walivyolalamika mahindi yao kuoza kwa kuwa hawana pa kuyaweka na wanalazimishwa kutokuuza mazao yao kwa wafanyabiashara wa kigeni ambao wanalipa hela nyingi..?
Umeona wakulima wengi huko mikoani wakilalamika kupata hasara kwa kuwa au wamecheleweshewa mbolea au wameuziwa mbolea fake ambayo ilipelekea kuharibu mazao yao..?
Hakika anayewalinda nae ana mgao wake hili deal si la kitoto...check hii watu 200 x 800,000 kila mmoja=zaidi ya 160,000,000/=milioni....ama kweli bongo maisha rahisi sana!!!Mwema.chagonja na wengineo endeleeni kufaidi nchi yenu hii.Tumeshasema mara nyingi Mwema, Chagonja na wenzao waondolewe lakini kuna mtu anawalinda. Waacheni tu yaishe.
ndugu yangu uongo sasa mpaka police mahakamani bungeni na kote kwenye utawala ....umeme mgao utaambiwa matengenezo ya miundo mbinu......unanikumbusha no buku no koton by mr mapesa
Polisi ni sehemu ya jamii yetu, jamii yetu yenyewe inaabudu rushwa kwa hiyo mi sishangai maana jamii yetu yote ndo ilivyo. Mbona hamshangai wajumbe wa NEC ya CCM kupatikana kwa rushwa wakati hiki chombo maamuzi yake ni makubwa kwa nchi yetu?
Sasa kama hata Polisi wanaingizwa kwa rushwa au wanatoa Rushwa ili wapate hizo nafasi, hivi ni nani atayebaki kweli kwenye hii ishu ya rushwa?? Nadhani ni mimi tu
Hivi najaribu kupiga picha maisha ya askari yalivyoduni halafu unakwenda kutoa rushwa ili upate hiyo kazi ya uaskari Tanzania?
Dawa ya upumbafu kama huo ni wetu sisi wananchi hasa walio zezeta katika kupambana na maisha yao, naomba adhabu kubwa ianzie kwa hao vijana ambao ni vilaza wanao amini uwezi fanikiwa bila hongo, na hao ndio watakuwa wa kwanza kuomba rushwa baada ya kumaliza mafunzo, nadhani elimu na uraia inatakiwa kwa vijana wote, huko wapi uzalendo wa nchi yao,je huko police kuna biashara gani hadi utoe laki nane, rushwa itakwisha siku watoa rushwa wataacha kutoa, waombaji wapo siku zote,
Amka vijana
Amka tanzania
Tumeshasema mara nyingi Mwema, Chagonja na wenzao waondolewe lakini kuna mtu anawalinda. Waacheni tu yaishe.
Hakika anayewalinda nae ana mgao wake hili deal si la kitoto...check hii watu 200 x 800,000 kila mmoja=zaidi ya 160,000,000/=milioni....ama kweli bongo maisha rahisi sana!!!Mwema.chagonja na wengineo endeleeni kufaidi nchi yenu hii.
Hivi najaribu kupiga picha maisha ya askari yalivyoduni halafu unakwenda kutoa rushwa ili upate hiyo kazi ya uaskari Tanzania?
Sasa kama hata Polisi wanaingizwa kwa rushwa au wanatoa Rushwa ili wapate hizo nafasi, hivi ni nani atayebaki kweli kwenye hii ishu ya rushwa?? Nadhani ni mimi tu