Yaani nchi hii kama huna wa kukushika mkono umekwisha! mm naka diploma kangu nilishaapply kazi mpaka sasa nimeamua niwe chinga tu! natamani kurudi shule, nikifikiria niache umachinga nirudi shule (full time)familia itakufa njaa. Nyegezi nao evening classes wamefunga! basi kasheshe.