Kashfa waziri wa Magufuli kutaka kuunga kutumia madaraka vibaya

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,461
29,158
Imeripotiwa kuwa waziri Simbachawene ametumia cheo chake ili kupeleka umeme jimboni kwake lenye kaya 80 tu zenye uwezo na kuruka jimbo la Kilosa ambalo lina kaya zaidi ya 500 zenye uwezo wa kuvuta umeme.

Hayo yameripotiwa na kituo cha ITV saa mbili na wakazi wa Kilosa wamegoma nguzo kupita mashambani kwao ili ukaangaze jimbo la Simbachawene.
 
Hapo buzara itumike. Haiwezekani nguzo zipite juu zikamulike jimbo jingine
 
Simbachawene?? Nilijua wa dodoma kumbe morogoro....hii kama kweli haikubaliki
 
Imeripotiwa kuwa waziri simbachawene ametumia cheo chake ili kupeleka umeme jimboni kwake lenye kaya 80 tu zenye uwezo na kuruka jimbo la Kilosa ambalo lina kaya zaidi ya 500 zenye uwezo wa kuvuta umeme, hayo yameripotiwa na kituo cha ITV saa mbili na wakazi wa kilosa wamegoma nguzo kupita mashambani kwao ili ukaangaze jimbo la simbachawene.
Mimi nafikiri hakukuwa na sababu ya kumtaja Simba chawene ili ni swala la Tanesco si lazima Simba chawene ahusike!
Hili swala lina wahusu tanesco moja kwa moja...
 
Imeripotiwa kuwa waziri simbachawene ametumia cheo chake ili kupeleka umeme jimboni kwake lenye kaya 80 tu zenye uwezo na kuruka jimbo la Kilosa ambalo lina kaya zaidi ya 500 zenye uwezo wa kuvuta umeme, hayo yameripotiwa na kituo cha ITV saa mbili na wakazi wa kilosa wamegoma nguzo kupita mashambani kwao ili ukaangaze jimbo la simbachawene.
Simbachawene ni waziri wa wizara gani vile?
Au ndo mavuvuzera nyie
 
Mimi nafikiri hakukuwa na sababu ya kumtaja Simba chawene ili ni swala la Tanesco si lazima Simba chawene ahusike!
Hili swala lina wahusu tanesco moja kwa moja...
Haya mkuu mfano nikisema mbunge wa kibakwe tu vipi hapo, ok hebu nipe sababu ya kuacha familia 500 na kuwapa kaya 80 wametumia kitu gani nshomile
 
Mimi nafikiri hakukuwa na sababu ya kumtaja Simba chawene ili ni swala la Tanesco si lazima Simba chawene ahusike!
Hili swala lina wahusu tanesco moja kwa moja...
Unafiki tu angekuwa muhongo wizara ya nishat ningesema sawa
 
Haiingii akilini.......kwenu umeme upite.......ukamulike kwa jirani nyie m'baki na giza........akili za matope hizo......waTanzania wameamka.........wasikubali kabisa...........
 
Simbachawene ni waziri wa wizara gani vile?
Au ndo mavuvuzera nyie
Kwa hili naomba utumie kichwa kufikiri( na kama hicho kichwa unacho) mawaziri kwa mawaziri wanakutana na wanaeza fanya lobby ambazo c fair kwa sie ambao wabunge wetu c mawaziri
 
Imeripotiwa kuwa waziri simbachawene ametumia cheo chake ili kupeleka umeme jimboni kwake lenye kaya 80 tu zenye uwezo na kuruka jimbo la Kilosa ambalo lina kaya zaidi ya 500 zenye uwezo wa kuvuta umeme, hayo yameripotiwa na kituo cha ITV saa mbili na wakazi wa kilosa wamegoma nguzo kupita mashambani kwao ili ukaangaze jimbo la simbachawene.

Kabla haujalalamika nenda tanesco kaangalie ramani za REA 1,2 na 3 tunayokwendea ndo uje kumtuhumu simbachawene
 
Kwa hili naomba utumie kichwa kufikiri( na kama hicho kichwa unacho) mawaziri kwa mawaziri wanakutana na wanaeza fanya lobby ambazo c fair kwa sie ambao wabunge wetu c mawaziri

Ninatumia akili vizuri sana lkn wewe kaka unaweza kuzibitidha kuwa yeye ndo kashinikiza?
Unajua ramani za kusambaza umeme vijijini nchi nzima zilichorwa tangu kipindi cha kwanza cha muhongo,,?

Usimtuhumu MTU KISA anatokea sehemu hiyo
 
Kabla haujalalamika nenda tanesco kaangalie ramani za REA 1,2 na 3 tunayokwendea ndo uje kumtuhumu simbachawene
Kama zinasema uwaruke kaya zaidi ya 500 huku ukipitisha nguzo mashambani kwao na kuwapelekea kaya 80 zitakua ni majipu na kumbuka awamu iliyopita nani alikua waziri huko
 
Back
Top Bottom