Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

Wengi hawajui hilo wanapenda mwendelee a shida na majanga huku wakineemeka na mambo mema kama hayo unayoshuhudia hapa hawataki kusikia. Watu wanataka kupiga na si maendeleo ya kudumu...Kwa kuwa baadhi ya wakuu huwa wanapita humu kilio chako kitasikilizwa ila wabongo kwa kupigaaa na wizi, unafiki, uchoyo, rushwa na uongo...tunapenda sana ..na vitu hivyo ndio sababu ya Taifa kurudi nyuma..Hapo wako wanao jitahidi kwa hali na mali wamkwamishe Mh Rais lakini Mungu aliyempa hicho KITI atamsimamia kutimiza maombi ya walio wegi kuwa Taifa linaitaji kiongozi wa kufyeka uozo na mazoea machafu yenye kufifisha ustawi wa Taifa na watu wake
 
Ipo shaka juu ya uhusika wako katika hili..mfaidika toka kwa Wajerumani..Muathirika wa michakato ya kimaslahi ktk zabuni husika...

Nilitamani kuona tuhuma zenye kuathiri taifa kama taarifa za ufisadi unaofanywa kupitia Fraud kubwa zinazoratibiwa na wakuu wa Vitengo....

Rushwa katika mikopo ,Cash withdrawal kuanzia bilioni moja kwenda juu kinyume cha sheria za nchi na mengineo..
 
Nilitaka kufungua akaunti hapo baada ya kuambiwa changamoto za kutopata pesa kwenye ATM zimetatuliwa.
 
duh Nmb mnashida kumbe huwa mnaona Raha kutupangisha foleni kuanzia asubuhi mpaka jioni hamfai kabisa nyinyi
 
Kuna dili la wafanyakazi wa benki na makapuni yanayo service hizo ATM,wafanyakazi benkini wanaharibu vitu vidogovidogo,jamaa wanajifanya wana repair kwa cost kubwa na percent inaenda kwa aliyewasaidia kuharibu,hii dili iko muda mrefu tu na ndio chanzo cha ATM nyingi ku reportiwa ni mbovu ,anapokuja fundi kuna watu wana neemeka.Nadhani kila sehemu inahitaji kuwa na Magufuli wake maana uozo nchi hii ulikuwa umezidi.
 
NMB wana Huduma za hovyo sana wakati mengine nilikwenda mwezi wa 9/9 /2016 kuomba kadi nyingine kwani ya mwanzo ilianzafumuka kuharibika hivi toka muda huo mpk leo juzi na kwenda nakuta bado ilibidi nihamishe pesa zangu zote kwa CRDB na ninampango wa kubadili mshahara wangu kwa LAWSON upitie CRDB..
 
Hii ni nchi wadau.., sio kagroup ka watu wawili tu....!
Tecnologies zinauzwa, gharama zake wanajua wanaolipia....!! Tecnology ya mzungu gharama yake si ya kitoto...
Sijui tu, ile tungewekewa apa gharama zake tu geenda zetu kulala...!!! German..!! Chezea jeremen na tanganyika yake...!!
Jamaa walijenga tu miundombinu wasidai pesa ya installation mpaka walipoona huu ndo muda muafaka.. Kwamba hapa tukidai hawana jinsi watalipa tu....!!!
Sasa uyo mlipaji ndo anajua iyo pesa alodaiwa na uyu mkulu wa nchi tulonae na kasi yake ukimvalisha miwani kusoma iyo figure alafu ukaambiwa ii mzee ni ya kale kaeitiiem ka tabata na vitaataa vyake tu.....
Hakuna anependa kuacha ugali wake kwaajili ya mzungu ckuiz....!!!

Thats my take, otherwise nipite tu
 
hiyo ni benki binafsi unataka jpm aje kutumbua? wewe una maslahi binafsi au ni uzalendo kwa mwajiri wako. kama ni uzalendo kwa mwajiri wako usiogope kupeleka malalamiko au maoni yako kwa uongozi wa juu wa benki.
 
hiyo ni benki binafsi unataka jpm aje kutumbua? wewe una maslahi binafsi au ni uzalendo kwa mwajiri wako. kama ni uzalendo kwa mwajiri wako usiogope kupeleka malalamiko au maoni yako kwa uongozi wa juu wa benki.

Mkuu umeajiriwa au ulishawai kuajiriwa....au ww ni mpiga dili mtaani haujui misingi ya kuajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…