Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB


Kwani NMB wanafanya kazi kienyeji hivyo? Mtu mmoja anaweza kutoa tenda halafu mwingine akaja kuwafukuza waliopewa tenda?

Was it a pilot program? na kama ni pilot mtu mmoja anaweza luidhinisha kweli watu wafunge mitambo kwenye ATM? umefanya vizuri kuleta huu ujumbe ila bado nina maswali mengi kuliko majibu
 
= writing is an art. Siyo "arts".

Halafu mbona post yako hukuweka spacing sehemu zingine?

Nyani haoni kundule...
Asante kwa masahihisho.Ningeweka wewe Bibi Kifimbo Cheza ungekosa cha kukosoa.Hata hivyo mimi haikuwa lengo kumkosoa jamaa,bali kumuonyesha kuwa achukue ujumbe wa mleta mada na si namna ya uandishi.

Wasalimie Wajukuu zako,habari za K'koo au upo kwenu Canada?
 
Ok, nami nimekamatika Hahahaa.
 


Nadhani NMB serikali ina share za kutosha-kama kweli kuna uhuni huu nadhani hatua itachukuliwa.
cc.
Mhe. Mwigulu Nchemba
 


Wakati huo kwa faida ya washindani wengine hiyo Teknolojia inaitwaje Mkuu? Na nikupitia Kampuni gani ya Kijerumani?
 
Hao wakubwa wa NMB wanawaza tu kupiga dili wakati huduma zinazorota hakuna usimamizi, branches zao unakaa kwenye foleni mpaka miguu inazama tumboni. Unakuta kuna tellers watano, wanne wamefunga anahudumia teller mmoja msururu wa watu. Tabu sana hawa watu.
 
Kama unaongea ukweli, ondoa hofu utakuwa salama. Tutakulinda!

Mzee Tupatupa

NMBCzar,

Kama ni taaarifa sahihi na ina ukweli ondoa shaka.
JPM atakulanao sahani moja. Ila siku nyingine ukiwasilisha taarifa kama hizi usitake kuwapa adui zako mwanya wa kuanza kuku-trace(fuatilia) kwa urahisi. Kwenye taarifa yako hukupashwa ufanye haya mawili:
  1. Kusema wewe ni mwajiriwa wa NMB.
  2. Kutaja mpaka eneo unalokaa.
Hayo ni makosa ya kiufundi ambayo yanaweze kugharimu ajira na uhai wako. Ujue nchi hii imejaa mafisadi kila kona na wako mpaka Ikulu. Next time please be careful!
 
Mi nikajua NMB wamekula hela ya Mwanae labda.. kumbe wala . Ni kweli si kila mmoja anajua kuwa specific. ila wajifunze.
 
Akili ndogo huwa inafocus kwenye vitu vidogo
Ndo ninyi ambao mnatongoza dem badala yakuwa specific unaanza muhadithia tamthilia ya Isidingo. Huwezi elewa umuhimu a kuwa straight to to the point ktk formal writing kama shule yako ndogo.

Hapa sio chit chat hivyo ilibidi awe makini na kutoweka porojo zisizo za maana.
 
Hili ni tatizo kweli Mkuu hapa umelileta sehemu sahihi linawafikia NMB NUSU INIFANYE NILALE NJE nilifika usiku mbeya zunguka Atm zote hazina pesa ninapoona huu ujinga ukiendelea masikitiko sana NMB BAHATI YENU NI BANK YA UMMA
Nani aliyekwambia ni Benki ya uma?? Thubutu. Wewe unafikili CEO NI MSWAHILI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…