MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Hilo sio kwa Tanzania kwenye shamba la bibi. Hivi sasa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Iceland yuko Mahakamani kwa kosa la kutochukua tahadhari juu ya hali ya uchumi. Petu watu wanajikusanyia hawana woga. Nani anaubavu wa kuwashitaki. Labda tuwapeleke kwa OCampo.Ningependa kujua hio ni mashine ya aina gani.., na inanunuliwa kwa fedha kiasi hicho bila guarantee ?
Kweli hapa someone must be answerable.