Kashfa nyingine jeshi la polisi

Kashfa nyingine jeshi la polisi

Kwa sisi tuliodhurula katika bara la afrika nathubu kusema katika afrika mashariki polisi wetu wanajali haki za binadamu kuliko sehemu zote afrika mashariki.
 
Hizi damu zinawasumbua sana polisi na watoto wao ndo sababu watoto wao dasani ni ngumu kuelewa kutokana na laana ambazo baba zao au mama zao wamewalimbikizia toka kwa raia wanaowatesa

wewe ndio darasani ulikuwa mbulula kweli kero za polisi ni nyingi
1.kuna waajiliwa na sio waajiliwa
waajiliwa ni wale kuanzia nyota moja na kuendelea na ndio wanaopata kapension kakubwa sana hawa ni sawa na walimu wanaajiliwa mojamoja
wasiowaajiliwa hawa ni kuanzia cheo cha chini mpaka kukaribia nyota moja hawa wakisitaafu hupewa kapension kama milioni kumi kwa miaka hamsini ya kazini na hawa ndio tatizo maana walishakata tamaa ndio wanaosumbua na ndio manpower ya jeshi wajifunze kama jeshi la polisi la usa mtu akiajiliwa ni kama wafanyakazi wengine
 
Kwa sisi tuliodhurula katika bara la afrika nathubu kusema katika afrika mashariki polisi wetu wanajali haki za binadamu kuliko sehemu zote afrika mashariki.

sijakaa sana nchi za afrika ila nimekaa jimbo la frolida askari wa kule wako makini sana na kule wanasema wenyewe polisi ni uzalendo wa huku wanakata tamaa sababu wengine waajiliwa na wengine sio nimekaa south afrika duuu huko askari yanatisha ubabe wa kufa mtu ila wa huku kwetu wakirekebishiwa sheria zao watakuwa wazuri kabisa
 
Hii sasa ishakuwa sawa tu kwa polisi. Mwezi uliopita polisi wa kituo cha kwa yusufu mbezi pale wameua fundi ujenzi. Wamemtoa kwenye eneo la kazi wamekwenda kumpiga mpaka wakamuua. Hamna polisi kuna wauaji tu
 
Nenda arusha central ndo utajua kama kuna ugaidi ndani ya jeshi..kuna polisi anaitwa gwakisa ni shidaaa ana software ya ku metamorphosize kesi asubui wizi jioni inakuwa mauwaji
 
Kazi kweli kweli badala ya wao kumlinda raia na mali zake wanamtendea tofauti ukosefu wa weredi na elimu ya uraia.
 
Kama ni kweli hawaajiriwi na wanafanya kazi kama vibarua lazima wawe na roho ya kutojali kabisa maana kibarua hana cha kupoteza. Ila wanajitaidi kufanya kazi kwa kuheshimu haki za binadamu maana kama si hivyo shekh ponda angekuwa kama shekh makaburi
 
Daah niliiona hii katika habari so sad. Wamemdunda yule dereva wakaiba mchele, nyanya alivyokua navyo kwenye cabin. Wakakwara na wallet na simu yake halafu askari kumi kweli wanampiga raia kwaajili ya mchele? This is madness

Hiki ndivjo ambacho jeshi la polisi limebobea kufanya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tutakutana nao Uraiani wakiisha Stafu.

Bado nchi ina raia watulivu sana.

Majambazi wanapeta Polisi wanachapa raia,sasa kwa hali hiyo unafikira Raia uliempiga hata akiona ajambazi atakupigieni sim ili mje.

Kazi kweli,tatizo ni kwamba hapo hafukuzwi mtu zaidi ya kuhamishwa ktiuo.

yes! Kaa kimya si huyo jambaz atamwibia polisi?? Ss raia tunalaumu pasipokujua kosa hvi kuna madreva wangap wanapita na hawapigwi anapigwa yeye tu.? Wengne wamejaa kejeri,dharau na matusi hvyo utapigwa tu nami nasema muwapige tu
 
Hizi damu zinawasumbua sana polisi na watoto wao ndo sababu watoto wao dasani ni ngumu kuelewa kutokana na laana ambazo baba zao au mama zao wamewalimbikizia toka kwa raia wanaowatesa

tulia ww inamaana watoto wa polis pekee ndio wanafeli?! Unataka kuniambia na ww ni mtoto wa polis? Mbona huna akili kichwan?
 
Alafu kuna watu hamna akili kabisa hivi unaweza shadadia na kuongea vitu ambavyo havina msingi fikilia angekuwa mmoja kati ya damu yenu ya baba na mama ako acha ushamba na porojo za kijinga bwana


Sent from........

na ningefurahi sana kama angepigwa hvyo baba yako au mama yako kwasababu inaonesha huna akili unabweka tu pasipo sababu
 
Kwa sisi tuliodhurula katika bara la afrika nathubu kusema katika afrika mashariki polisi wetu wanajali haki za binadamu kuliko sehemu zote afrika mashariki.

mkuu acha tu! Omba usikamatwe na askar wa kenya hawa jamaa wanatoa kisago balaa! Tena hakuna cha kusema tuongee, kenya hakuna virushwa vya ajabu..... Sasa kuna mijitu humu hayajui chanzo cha kupigwa ni nn lakin yanabweka tu pambaaf
 
cha ajabu ni kwamba hao polisi watahamishwa kituo bila kuchukuliwa hatua zozote kisheria.
 
Wanakera sana hawa askari,wanashindwa tambua wananchi ni jeshi kubwa kushinda wao
 
Ni maeneo ya kigamboni-kibada askari polisi wamempiga dereva wa magari makubwa yanayosafirisha mafuta. Polisi walimpiga vibaya dereva huyo juzi usiku bila kuwa na sababu za msingi,wamechukua vitu vyake ikiwemo hela cash zaidi ya laki 6,simu yake,mchele,etc na wakamuacha hapohapo,kibaya ni kwamba hata wananchi walitaka kuingilia lakini waliogopa kwasababu polisi walikuwa na bunduki. Taarifa zimemfikia IGP na sasa hivi mkuu wa kituo kigamboni anashughulikia hilo suala. Kwenye hiyo defender ya polisi alikuwa mtu anaitwa khatibu (a.k.a mavi) ni maarufu kwa kupiga watu na mwanamke anaitwa Suzy aka sunita huyu anamjua huyo dereva na wakati wanampiga alimtaja kwa jina " sunita tunakunywaga wote pombe kwanini unanipiga?" wamemuumiza vibaya sana.

Hujaeleza ukweli wewe, sio rahisi upigwe bila tatizo naamini polisi sio vichaa. Huyo dereva lazima alikuwa na kosa tu, na alichofanya na ndio kinachowagharimu hao askari ni pengine alitoa rishwa ili asipelekwe polisi na baadae akapata bushlawyer akamshauri atoe lalamiko. Kwa kuwa hao polisi wameuingia mtego huo wa rushwa wanalo hilo ila huyo dereva anaficha crime zake.
 
Daah niliiona hii katika habari so sad. Wamemdunda yule dereva wakaiba mchele, nyanya alivyokua navyo kwenye cabin. Wakakwara na wallet na simu yake halafu askari kumi kweli wanampiga raia kwaajili ya mchele? This is madness

Dereva anaficha ukweli huyo ni criminal.
 
tulia ww inamaana watoto wa polis pekee ndio wanafeli?! Unataka kuniambia na ww ni mtoto wa polis? Mbona huna akili kichwan?

Ukiona mtu anashabikia damu kumwagika au watu kupigwa huenda ni mchawi!!au amelaaniwa na laana ikamfika
 
Mbona wenyewe wakiuwawaga mbona post kama hizi huwa hatuzioni? Na hata zikiwepo huwa za kusherekea jamaa kupigwa au kuuwawa kwao. Je wale si binadamu? Au haki za binadamu haziwahusu wale mapolisi?. Eti kashfa kwa polisi...! Mbona huwa hakuna kashifa kwa raia?. Nauliza tu msichukie

Ukinifanyizia natafuta unakoishi nakuja nakuua mbele ya familia yako kama wafanyavyo south africa. Hii ndio dawa tu iliyobaki. Nifanyizie uone-tumechoka.
 
Yaaan raia mwema unashindwa kutueleza kwamba mpaka kapigwa alikosa nn mmekazana tu amepigwa! Mbona askar wanauliwa kwenye thread hamuandiki sadness! What hell! Polis nao ni watu kama wew amekuzid tu proffesional ya upolis tu,,,
 
Back
Top Bottom