Mkuu EMT, I'm just speechless!.
Nilifanya TV interview na Mama Prof. Tibaijuka kuhusu "restoration" ya maeneo ya wazi, nakumbuka specifikally nilimuuliza kama kweli ana guts, kuarejesha maeneo yote ya wazi, wakati defaulter mkuu ni CCM?. Alisisitiza kufuata sheria, taratibu na kanuni!, hata kama ni ikulu, kitarejeshwa!, she claimed to be fearless!. By now she is nothing more!, nothing less!. Kabla kipindi hakijarushwa hewani, kilisimamishwa na kuwa "withdrown!".
CCM ni chama dola, kiko over and above the law!. Tibaijuka by now has learned her lessons a hard way!, hamtamsikia tena kwenye hili!.
igwana123 acha uongo mleta mada hakuweka barua ya tarehe 04/05/2010. Ameweka barua ya tarehe 17/06/2010 kutoka manispaa ya kinondoni ikijibu barua ya Shomari ya tarehe 04/05/2010 ambapo alikuwa ameomba kupimiwa eneo lililopo Masaki. Hata hiyo, Mh. Mbene anahusika tuu kama M/Kiti wa mtaa Masaki.Mtoa mada hapo amejichanganya sioni wapi Naibu Waziri Mbene anahusika ukisoma barua ya manispaa ya Kinondoni ya 04/05/2010 kwenda Kwa Shomari. Tuache kufanya mambo kisiasa na upotoshaji usio wa lazima. Wewe unachuki binafsi huyu mama wizara yake haihusiki kabisa na suala hili. Yeye wala hilo sio jimbo lake. Acheni hizo za kulete wachafu nyie
Jamani jamani mbona Mawaziri wa jk ni vituko?[/QUOTE]
Wanamuiga aliyewateua.......
Ciello badala ya kujadili hoja unaanza kujadili mleta hoja kajiunga lini. Kwani kuna ubaya gani kujiunga na JF kwa ajili ya kuweka post tuu? Sheria za JF zinakataza? Mbona wewe umejiunga juzi tarehe 7 September 2012 na hatusemi? Tena ulivyojiunga ulianzisha thread na kusema kuwa umeamua "kujitosa kuwa miongoni mwa magreat thinkers". Kuwa great thinker then.mie nina mashaka na mleta uzi, kajiunga 30 septermber 2012, ina maana lengo lake lilikuwa ni kuweka post hii au?? au umetumwa kumchafua naibu waziri wa fedha?? jipange mkuu, usilete uzi za uzushi hapa, waziri awaamuru manispaa kumbomolea mtu au kumwamisha mtu?? kwani hiyo manispaa hain master plani ya eneo husika?? haijui ianalopaswa kufanya mpaka waziri wa fedha awaingilie?? isitoshe kunawezekana kubadili matumizi ya ardhi husika sheria ya ardhi ya mwaka 1999, no.4 imeainisha hilo
mkuu EMT halikuwa dhumuni langu kumjadili mleta uzi, ila nilitaka kuweka angalizo kusijekuwa ni illmotive behind the accussations, migogoro ya arhdi na ishu nyingi za ardhi ni very sensitive na watu hawatakiwi kujudge basing on one side claims and evidence, ardhi ni miongoni mwa maswala tete katika nchi yetu, nasema haya si kwakufikiri bali niko uwandani nayashuhudia haya even sometimes binafsi nakutana na ishu kama hizi katika utendaji wangu wa kazi
mungu atamlipa huyu kijana. Sisi akina mama tukipata madaraka tu8jaribu kutulizana nayo kwanza maana kuna siku tutajaumbuka. Bibi Janeth hukuanza wewe kulikuwa na wenzio akina Monica Mbega ambao nao walikuwa hapohapo wakatumia madaraka yao vibaya leo unajua waliko. Be careful kilio cha wanyonge husikika zaidi na Mungu. Basi mlipeni haki yake akatafute kiwanja kinginw kule kwenye msitu wa mabwe pande.
Ama kweli hujafa hujaumbika...
Huwa naamini hakuna viumbe wenye roho mbaya kama wanawake...
Sipati picha ndo awe mama wa kambo flani lazima madogo wafe njaa
Nadhani DR Mwanjelwa atafurahi akisikia habari hii. Pamoja ni nje ya uzi lakini hawa wawili wanamgombea JK Mwanjelwa analalamika ati yeye ndo alistahili kuwa waziri kwa vile kazaa na Mkulu. Sasa ona, na kama habari hii ni kweli basi JK kazi anayo kwani inji hii itaendeshwa kimafiamafia
Mzee wa Masaki kwa mujibu wa barua ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni iliyoandikwa na Timoth T. Ndibohoye ya tarehe 19 Juni 2010 kwenda kwa Zuberi Shomari Mbogorume ikijibu barua yake ya tarehe 4 May 2010 inasema kuwa katika eneo la Masaki hakuna sehemu yoyote ambayo haijapimwa tokea upimaji ufanyike enzi za ukoloni (1948).
Barua inasema pia kwamba sehemu ambayo inaombwa kupimwa ni barabara kwa mujibu wa mchoro wa Mipangomji namba 1/499/169 Msasani Peninsula. fedha anadai kuwa hili eneo la wazi patajengwa ofisi ya mtaa wa Masaki. Ina maana hiyo ofisi itajengwa kwenye eneo la barabara? Kwa maana hiyo basi hilo eneo sio eneo la wazi kwa mujibu wa Public Recreation Grounds Cap. 320 bali ni sehemu ya barabara?
nawe kwa umbea umezidi,..mambo ya chadema unajifanya unayajua,ya serikali za mitaa wewe,ikulu wewe,..nyinyi ndio usalama wa ccmNDUGU WA JF NAOMBA KULITOLEA UFAFANUZI SWALA HILI LINALOONEKANA KUPOTOSHA UKWELI HALISI WA KIJANA SHOMARI KUTAPELI ENEO LA WAZI LA SERIKALI YA MTAA YA MASAKI(PENUSULA ROAD0 KARIBU NA DOUBLE TREE HOTEL.)
Ndugu shomari anayetajwa kupokonywa kiwanja na naibu waziri wa Fedha JanetI Mbene historia yake ipo hiviSAKATA LA KUTOSWA BAHARININi kweli kijana shomari kwa mujibu wa maelezo yake alitoswa baharini akiwa anazamia kwenda nchi za nje,Kwa bahati nzuri aliokolewa na wavuvi wanaofanya kazi zao bandari ya salama(Feri)
Alipookolewa na wavuvi hao alianza kutafuta maisha hapa Dar es salaam kwa kujishughulisha na kazi mbalimbali.Mnamo mwaka 2004-2005 kijana Shomari alifika ofisi za serikali ya mtaa Masaki kwa lengo la kuomba eneo la wazi lililopo PENISULA ROAD karibu na Double Tree hotel aanzishe bustani ya maua awe anauza kwaajili ya kujipatia kipato cha kukidhi maisha yake.
Kimsingi Shomari alionekana ni mtu mwenye kuhitaji kusaidiwa kwa wakati huo kutokana na kutokuwa na sehemu kamili ya kujishikiza,mavazi na maisha yake ya kulala na kula yalikuwa ni magumu sana.
SHOMARI ALIVYOPATA ENEO HILO LA WAZISerikali ya mtaa wa Masaki wakati huo ikiwa chini ya mtendaji SINGO MDEGELA MWENYE NAMBA ZA SIMU HIZI HAPA 0713 27 61 82 akishirikiana na viongozi wengine wa ngazi ya mtaa walikubaliana kwa pamoja kumsaidia kijana huyo aweanalitumia eneo hilo kwa shughuli zake za bustani.Lakini wakati wowote serikali ikihitaji eneo lake litalichukua.
Kuanzia mwaka 2005 kijana shomari alianza shughuli zake za kupanda maua na kuuza katika eneo hilo lililopo karibu na DOUBLE TREE HOTEL,wakati wote wa maisha yake hapo kwenye eno la wazi la serikali.Kijana SHOMARI alikuwa akilala hapo kila siku
Katika maisha yake ya hapo kwenye bustani Kijana shomari aliweza kujenga kibanda cha kulala,Siku zilivyozidi kwenda na yeye kupata uzoefu na pesa za kujikimu kwenye eneo hilo akajenga Club ndogo ya kuuza vinywaji baridi.
Naomba kuweka wazi ukweli ni kwamba club hiyo ilikuwa kama ni kivuli tu kwa sabubu kuna kesi nyingi zilizolipotiwa kwamba kijana SHOMARI anauza bangi na madawa ya kulevya eneo hilo,Pia kuna vijana wenzake ambao anashinda nao hapo(Beach Boys) vijana wanaoishi pembezoni mwa bahari tayari kwa kuzamia kwenda ulaya.
JANETI MBENE NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA WA MASAKI
Mwaka 2009 Janeti Mbene ambaye ni naibu waziri wa fedha kwa sasa, alishinda nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Masaki.
Pia wana Jf itambulike wazi kuwa MASAKI wamekuwa na uongozi wa serikali ya mtaa kwa kipindi kirefu lakini hawakuwa na ofisi.Mara zote wamekuwa wakifanyia kazi zao kwenye ofisi za CCM pale masaki.
Tatizo limejitokeza yanapokuja mambo ya kitaifa kama Kujisajili kwa vitambulisho vya Taifa,Kuomba barua mbalimbali za serikali za mitaa..Wananchi wengi wamekuwa hawapo tayari kusogea maaeneo ya OFISI ZA ccm kwa sababu za kisiasa.Hii imepelekea mambo mengi yanayohusu Taifa kuwa magumu kufanyika kwa ukamilifu.
Kwa mantiki hiyo Janet Mbene alipoingia serikali ya mtaa na kuwa mwenyekiti katika moja ya malengo yake llikuwa ni kupata Ofisi ramsi za Serkali ya mtaa wa Masaki.
Janeti Mbene amelipigania hilo kwa muda mrefu sana,Ndipo ofisi ya mtendaji wakishirikina na serikali ya mtaa wakaamua kwenda kwa Kijana SHOMARI kumwambia kuwa wanahitaji eneo lao wajenge ofisi za serikali ya mtaa.
UTATA UKAANZIA HAPA,
Baada ya kijana shomari kuombwa arudishe eno alilokuwa maeazimwa afanyie shughuli zake za Bustani aligoma kwa madai kwamba hilo eneo ni lake amerithi kutoka kwa bibi yake.Hivyo hawezi kuondoka.
Kijana shomari aliamua kwenda kuishitaki Halmashauri ya KINONDONI kwa kutaka kumnyang'anya eneo lake kupitia serkali ya mtaa wa Masaki.
Katikia kesi hiyo Kijana SHOMARI alishindwa mahakani na ushindi ukapewa kwa HALMSHAURI YA KINONDONI..Baada yapo Halmashauri ya kinondoni ambAyo ilipewa jukumu na mahakama la kwenda kuvunja eneo hilo la wazi walifanya kama walivyoagizwa.
IKUMBUKWE WAZI,Kijana SHOMARI alipofungua kesi hiyo mahakamani alipeleka barua nyingine ikulu ya kudai hilo ni eneo lake amerithi kwa bibi yake .Ikulu ilituma watu wake kwenda kuona eneo hilo na walipo fika pale wakajiridhisha kuwa ni eneo la wazi la serikali.Pia katika kumbukumbu za IKULU zinaonesha wazi kuwa JINA SHOMARI linajitokeza kwenye kesi yingine ya kutapeli aliyoifanya KWA muhindi mmoja kwa njia hiyohiyo ya kuomba eneo la Bustani MAENEO YA UPANGA.
Hivyo basi WANA JF naomba kuweka wazi ENEO hilo analodai shomari nilakwake si kweli NI ENEO LA WAZI LA SERIKALI chini ya serikali ya mtaa ya MASAKI.
IKUMBUKWE KWA SASA HALMAHSURI YA KINONDONI IPO kwenye mpango wake wa kubomoa nyumba zilizojengwa viwanja vya wazi na kwenye hifadhi ya Bahari ya hindi.
KIJANA SHOMARI ni tapeli wala asidanganye kuwa eneo hilo ni lake,Asidanganye kuwa kwa sasa kuna mtu anajenga hapo.
Ni kweli eneo hilo kwa sasa baada ya kubomolewa limeshazungushiwa mabati tayari kwa kuanza kujenga ofisi za serikali ya mtaa wa MASAKI.
HIVYO BASI si kweli kwamba Naibu waziri wa Fedha Janeti Mbene anahusika na lolote juu ya kiwanja hicho,Hawezi na hana wazo la kupola kiwanja cha mtu.Pia ingeshangaza umma kuona eneo la wazi ambalo kila mwana masaki anajua wazi kuwa eneo hilo ni la wazi la serikali nasio mtu bianafsi.
Asanteni,Tusiwachafue viongozi wa kwa mambo ya uongo.Kuna sehemu ambazo wanastahili kuhukumiwa katika utendaji wao lakini sio kwa kubambika mambo ya uongo kama anvyofanya Kijana SHOMARI.
Pia ikumbukwe wazi kwamba yeye JANETI MBENE ni mwanasiasa katika mtaa ule hana mamlaka ya kumfukuza wala kumukamata mtu yeyote.
HALMASHAURI NDIYO YENYE JUKUMU HILO..NA IMESHATEKELEZA KUBOMOA ENEO HILO NA SASA OFISI ZA SERIKALI YA MTAA WA MASAKI ZINAJENGWA.
KWA KUONESHA KWAMBA KIJANA SHOMARI NI JEURI NA HATAMBUI HUKUMU YA MAHAKAMA,AMEBOMOA MABATI YALIYOZUNGUSHIWA ENEO HILO NA SERIKALI ...AMEINGIA HAPO NA AMEHAMISHIA FAMILIA YAKE ENEO HILO.
Naomba ielewe hivyo.asanteni
CV nzuri lakini toka aungane na CCM, naye anekuwa Fisadi
Janet Mbene
Janet Mbene is founder and Director of SIA Limited, a private firm that provides capacity-building support for small and medium enterprises.
Ms. Mbene has a rich history in development economics, banking, and international and regional trade. Her diverse background includes leadership positions in the private sector and in the United Nations before joining the non-profit sector. Prior to leading Mwengo, Ms. Mbene worked with Oxfam International, the UN Development Program, the International Labor Organization, and several international nongovernmental organizations. Her work focused on mobilizing producers and entrepreneurs into associations, building their capacity to improve production and manage their enterprises better, facilitating access to markets, campaigning for better conditions through dialogue with relevant authorities, and promoting fair trade policies. She has also led rights and empowerment programs for women and youth, particularly in advocacy, training in legal concepts and instruments, and microfinance and income-generation. Ms. Mbene has also interspersed her career with short-term consultancies around entrepreneurship development (e.g. with TechnoServe in 2007); research and analysis around rural microfinance services (e.g. with the Economic and Social Research Foundation in Tanzania); and financial services to small and medial enterprises (e.g. with a project of the Austrian government in Tanzania).
Alongside her work with SIA Limited, Ms. Mbene is also the founder and chairperson of YATIMA Trust on HIV/AIDS in Tanzania, which provides support for children who were orphaned or partially orphaned by HIV/AIDS and advocates for policy changes protecting orphans and orphanages. She is also a founding Trustee of the Association of Women Economists in Tanzania, promoting economic literacy and empowerment of particularly rural women.
Ms. Mbene has a Master's degree in economics from the University of New England in Australia. SIA Limited aims to contribute to poverty eradication and sustainable growth support and promote entrepreneurs leading small and medium enterprises (SMEs) in Tanzania, and to contribute to the policy dialogue on SMEs and rural development in Tanzania. SIA targets start-up entrepreneurs in rural and urban areas, as well as local government bodies working with local communities in need of planning, implementation, and monitoring and evaluation capacities. Additionally, Ms. Mbene serves as chairperson for Getting Old is to Grow (GOIG), an NGO involved in advocacy around aged-people, which also supports vocational training centers in handicraft work for youth, as well as a project for orphans left in the care of their grandparents. She co-founded an NGO to offer support to home based orphans living with relatives.
CV nzuri lakini toka aungane na CCM, naye anekuwa Fisadi
Janet Mbene
Janet Mbene is founder and Director of SIA Limited, a private firm that provides capacity-building support for small and medium enterprises.
Ms. Mbene has a rich history in development economics, banking, and international and regional trade. Her diverse background includes leadership positions in the private sector and in the United Nations before joining the non-profit sector. Prior to leading Mwengo, Ms. Mbene worked with Oxfam International, the UN Development Program, the International Labor Organization, and several international nongovernmental organizations. Her work focused on mobilizing producers and entrepreneurs into associations, building their capacity to improve production and manage their enterprises better, facilitating access to markets, campaigning for better conditions through dialogue with relevant authorities, and promoting fair trade policies. She has also led rights and empowerment programs for women and youth, particularly in advocacy, training in legal concepts and instruments, and microfinance and income-generation. Ms. Mbene has also interspersed her career with short-term consultancies around entrepreneurship development (e.g. with TechnoServe in 2007); research and analysis around rural microfinance services (e.g. with the Economic and Social Research Foundation in Tanzania); and financial services to small and medial enterprises (e.g. with a project of the Austrian government in Tanzania).
Alongside her work with SIA Limited, Ms. Mbene is also the founder and chairperson of YATIMA Trust on HIV/AIDS in Tanzania, which provides support for children who were orphaned or partially orphaned by HIV/AIDS and advocates for policy changes protecting orphans and orphanages. She is also a founding Trustee of the Association of Women Economists in Tanzania, promoting economic literacy and empowerment of particularly rural women.
Ms. Mbene has a Master's degree in economics from the University of New England in Australia. SIA Limited aims to contribute to poverty eradication and sustainable growth support and promote entrepreneurs leading small and medium enterprises (SMEs) in Tanzania, and to contribute to the policy dialogue on SMEs and rural development in Tanzania. SIA targets start-up entrepreneurs in rural and urban areas, as well as local government bodies working with local communities in need of planning, implementation, and monitoring and evaluation capacities. Additionally, Ms. Mbene serves as chairperson for Getting Old is to Grow (GOIG), an NGO involved in advocacy around aged-people, which also supports vocational training centers in handicraft work for youth, as well as a project for orphans left in the care of their grandparents. She co-founded an NGO to offer support to home based orphans living with relatives.
NDUGU WA JF NAOMBA KULITOLEA UFAFANUZI SWALA HILI LINALOONEKANA KUPOTOSHA UKWELI HALISI WA KIJANA SHOMARI KUTAPELI ENEO LA WAZI LA SERIKALI YA MTAA YA MASAKI(PENUSULA ROAD0 KARIBU NA DOUBLE TREE HOTEL.)
Ndugu shomari anayetajwa kupokonywa kiwanja na naibu waziri wa Fedha JanetI Mbene historia yake ipo hiviSAKATA LA KUTOSWA BAHARININi kweli kijana shomari kwa mujibu wa maelezo yake alitoswa baharini akiwa anazamia kwenda nchi za nje,Kwa bahati nzuri aliokolewa na wavuvi wanaofanya kazi zao bandari ya salama(Feri)
Alipookolewa na wavuvi hao alianza kutafuta maisha hapa Dar es salaam kwa kujishughulisha na kazi mbalimbali.Mnamo mwaka 2004-2005 kijana Shomari alifika ofisi za serikali ya mtaa Masaki kwa lengo la kuomba eneo la wazi lililopo PENISULA ROAD karibu na Double Tree hotel aanzishe bustani ya maua awe anauza kwaajili ya kujipatia kipato cha kukidhi maisha yake.
Kimsingi Shomari alionekana ni mtu mwenye kuhitaji kusaidiwa kwa wakati huo kutokana na kutokuwa na sehemu kamili ya kujishikiza,mavazi na maisha yake ya kulala na kula yalikuwa ni magumu sana.
SHOMARI ALIVYOPATA ENEO HILO LA WAZISerikali ya mtaa wa Masaki wakati huo ikiwa chini ya mtendaji SINGO MDEGELA MWENYE NAMBA ZA SIMU HIZI HAPA 0713 27 61 82 akishirikiana na viongozi wengine wa ngazi ya mtaa walikubaliana kwa pamoja kumsaidia kijana huyo aweanalitumia eneo hilo kwa shughuli zake za bustani.Lakini wakati wowote serikali ikihitaji eneo lake litalichukua.
Kuanzia mwaka 2005 kijana shomari alianza shughuli zake za kupanda maua na kuuza katika eneo hilo lililopo karibu na DOUBLE TREE HOTEL,wakati wote wa maisha yake hapo kwenye eno la wazi la serikali.Kijana SHOMARI alikuwa akilala hapo kila siku
Katika maisha yake ya hapo kwenye bustani Kijana shomari aliweza kujenga kibanda cha kulala,Siku zilivyozidi kwenda na yeye kupata uzoefu na pesa za kujikimu kwenye eneo hilo akajenga Club ndogo ya kuuza vinywaji baridi.
Naomba kuweka wazi ukweli ni kwamba club hiyo ilikuwa kama ni kivuli tu kwa sabubu kuna kesi nyingi zilizolipotiwa kwamba kijana SHOMARI anauza bangi na madawa ya kulevya eneo hilo,Pia kuna vijana wenzake ambao anashinda nao hapo(Beach Boys) vijana wanaoishi pembezoni mwa bahari tayari kwa kuzamia kwenda ulaya.
JANETI MBENE NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA WA MASAKI
Mwaka 2009 Janeti Mbene ambaye ni naibu waziri wa fedha kwa sasa, alishinda nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Masaki.
Pia wana Jf itambulike wazi kuwa MASAKI wamekuwa na uongozi wa serikali ya mtaa kwa kipindi kirefu lakini hawakuwa na ofisi.Mara zote wamekuwa wakifanyia kazi zao kwenye ofisi za CCM pale masaki.
Tatizo limejitokeza yanapokuja mambo ya kitaifa kama Kujisajili kwa vitambulisho vya Taifa,Kuomba barua mbalimbali za serikali za mitaa..Wananchi wengi wamekuwa hawapo tayari kusogea maaeneo ya OFISI ZA ccm kwa sababu za kisiasa.Hii imepelekea mambo mengi yanayohusu Taifa kuwa magumu kufanyika kwa ukamilifu.
Kwa mantiki hiyo Janet Mbene alipoingia serikali ya mtaa na kuwa mwenyekiti katika moja ya malengo yake llikuwa ni kupata Ofisi ramsi za Serkali ya mtaa wa Masaki.
Janeti Mbene amelipigania hilo kwa muda mrefu sana,Ndipo ofisi ya mtendaji wakishirikina na serikali ya mtaa wakaamua kwenda kwa Kijana SHOMARI kumwambia kuwa wanahitaji eneo lao wajenge ofisi za serikali ya mtaa.
UTATA UKAANZIA HAPA,
Baada ya kijana shomari kuombwa arudishe eno alilokuwa maeazimwa afanyie shughuli zake za Bustani aligoma kwa madai kwamba hilo eneo ni lake amerithi kutoka kwa bibi yake.Hivyo hawezi kuondoka.
Kijana shomari aliamua kwenda kuishitaki Halmashauri ya KINONDONI kwa kutaka kumnyang'anya eneo lake kupitia serkali ya mtaa wa Masaki.
Katikia kesi hiyo Kijana SHOMARI alishindwa mahakani na ushindi ukapewa kwa HALMSHAURI YA KINONDONI..Baada yapo Halmashauri ya kinondoni ambAyo ilipewa jukumu na mahakama la kwenda kuvunja eneo hilo la wazi walifanya kama walivyoagizwa.
IKUMBUKWE WAZI,Kijana SHOMARI alipofungua kesi hiyo mahakamani alipeleka barua nyingine ikulu ya kudai hilo ni eneo lake amerithi kwa bibi yake .Ikulu ilituma watu wake kwenda kuona eneo hilo na walipo fika pale wakajiridhisha kuwa ni eneo la wazi la serikali.Pia katika kumbukumbu za IKULU zinaonesha wazi kuwa JINA SHOMARI linajitokeza kwenye kesi yingine ya kutapeli aliyoifanya KWA muhindi mmoja kwa njia hiyohiyo ya kuomba eneo la Bustani MAENEO YA UPANGA.
Hivyo basi WANA JF naomba kuweka wazi ENEO hilo analodai shomari nilakwake si kweli NI ENEO LA WAZI LA SERIKALI chini ya serikali ya mtaa ya MASAKI.
IKUMBUKWE KWA SASA HALMAHSURI YA KINONDONI IPO kwenye mpango wake wa kubomoa nyumba zilizojengwa viwanja vya wazi na kwenye hifadhi ya Bahari ya hindi.
KIJANA SHOMARI ni tapeli wala asidanganye kuwa eneo hilo ni lake,Asidanganye kuwa kwa sasa kuna mtu anajenga hapo.
Ni kweli eneo hilo kwa sasa baada ya kubomolewa limeshazungushiwa mabati tayari kwa kuanza kujenga ofisi za serikali ya mtaa wa MASAKI.
HIVYO BASI si kweli kwamba Naibu waziri wa Fedha Janeti Mbene anahusika na lolote juu ya kiwanja hicho,Hawezi na hana wazo la kupola kiwanja cha mtu.Pia ingeshangaza umma kuona eneo la wazi ambalo kila mwana masaki anajua wazi kuwa eneo hilo ni la wazi la serikali nasio mtu bianafsi.
Asanteni,Tusiwachafue viongozi wa kwa mambo ya uongo.Kuna sehemu ambazo wanastahili kuhukumiwa katika utendaji wao lakini sio kwa kubambika mambo ya uongo kama anvyofanya Kijana SHOMARI.
Pia ikumbukwe wazi kwamba yeye JANETI MBENE ni mwanasiasa katika mtaa ule hana mamlaka ya kumfukuza wala kumukamata mtu yeyote.
HALMASHAURI NDIYO YENYE JUKUMU HILO..NA IMESHATEKELEZA KUBOMOA ENEO HILO NA SASA OFISI ZA SERIKALI YA MTAA WA MASAKI ZINAJENGWA.
KWA KUONESHA KWAMBA KIJANA SHOMARI NI JEURI NA HATAMBUI HUKUMU YA MAHAKAMA,AMEBOMOA MABATI YALIYOZUNGUSHIWA ENEO HILO NA SERIKALI ...AMEINGIA HAPO NA AMEHAMISHIA FAMILIA YAKE ENEO HILO.
Naomba ielewe hivyo.asanteni