Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
hahah! yani unataka kusema kama 75% wamegushi...!Walivyowengi si jeshi litavunjika.
hahah! yani unataka kusema kama 75% wamegushi...!Walivyowengi si jeshi litavunjika.
Ujambazi utamfaa zaidi.
mh najaribu kumuwazia askari ambaye ana miaka 23 kazini labda. Akiacha hapo anaenda kufanya kazi gani?
Usiseme hivyo mkuu. Huoni kama wangeachwa wastaafu halafu wawe makini kwenye ajira mpya tu??!
ambae hajawahi kughushi mahali ajitokeze? wanawaoneawatu walijitahidi kwa hali na mali kutafuta ajira.
wangeanza na hao mabosi wanaoghushi sahihi za cheque au posho....then ndo waamkie hawa maskini wanaotumia vyeti vya wenzao.
jambazi
ndio ustaafu kwa hiari sasa,utakuwa poti wewe na umeshikwa pabaya
Ukweli ni kwamba CCM wamezembea sana suala hili na wala hawawezi kufanya chochote ila mimi ninamtanzamo kwamba Rais Kagame anaongoza eneo sawa na Bukoba na eneo hilo lina makabila mawili tu ambapo kagame ameshindwa kuongoza na amebaki kuua!!Kagame alishngaa sana hiyo akajiuliza mwiziunampa muda arudishe??? Akaomba wiki.mbili akipewa tz anasafisha wizara zote nakurudikwao
Kile kikundi cha mbwa mwitu sasa kitaingiza wataalamu rasmi...yetu macho
ambae hajawahi kughushi mahali ajitokeze? wanawaoneawatu walijitahidi kwa hali na mali kutafuta ajira.
wangeanza na hao mabosi wanaoghushi sahihi za cheque au posho....then ndo waamkie hawa maskini wanaotumia vyeti vya wenzao.
hao askari mbona wapo wengi sana,pale moshi wapo kama 60,baadhi wanatumia vyeti vya ndugu zao WP. ROSE,WP. SUBIRA na hata baadhi walikuwa ma-house girl wa wakubwa jeshini lakini waliingizwa jeshini kama fadhila,chagonja akiwa CCP aliokota wauza baa wengi na kuwaingiza CCP 'walimlipa ngono.
mke wa OC-CID rombo afande majebele alikuwa house girl kwa mkubwa mmoja ndani ya jeshi la polisi naye alipelekwa CCP licha ya kluwa hata darasa la saba hakumaliza,hebu waanzie hapo kufumua mtandao wa polisi wenye vyeti feki
Mkuu Chagonja ndo anatajwa kuwa ring leader hata sakata lililomtoa Chalamila,,yaani walifanya kumtoa mbuzi wa kafara. Mke wake Chagonja pia tapeli mkubwa kabisa