Hivi hii inji ya tanganyika ni nani aliyeturoga? Haya ni matunda ya serikali 'sikivu' ya CCM.
tpaul;
Kwa kuwa serekali hii ya ccm ni sikivu saana, tunaipa ushauri, wasikurupuke na majigambo mengi kwani hao hao Makamanda wa mikoa, wanajiamini vipi kwa vyeti vyao??
Serekali ya ccm ukitaka usiguswe, jua tu Kuwapiga tuuuu. Jua kuwafyatulia mabomu wapinzani hakuna wa kukuchunguza tena bali ngojea cheo. Tupo hapa, hakuna lolote ni Upepo tu unatikisa miti, tawi laini litavunjika sio lililo komaa.