chaarusha161
Member
- Dec 16, 2014
- 26
- 3
Ama kweli tumebugi..
weka hyo clip
Hahahahahaaa..... aisee ahsante kwa kunifumbua macho. Nlikuwa najiuliza mtu anapataje tabu kuandika uandishi wa namna hii?
cc @RR
Kama ni kweli hiyo imetokea jana basi hata mechi na prison ule ulikuwa ni ushind wa kupanga ili mkutano upite kwa amani...........
Na Ambao Mlikuwa Mnadhani Labda Natania Tu au Nimekurupuka Muda Si Mrefu Clouds FM Nao Ktk Kipindi Chao Cha Sports Extra Wameirudia Na Kuicheza Hiyo Clip Kupitia Kwa Alex Luambano Huku Shafii Dauda Kama Kawaida Yake AKISILIBA KWA KWENDA MBELE. Haya Sasa Na Leo Semeni GENTAMYCINE Nimekurupuka au Ni Mzushi au Ni Mchochezi au Ni Mropokaji Tu!
Naona Unamsapoti Anayekukuna Kwa Kukusugua Na Sasa Umesugulika Kisawasawa Hadi Unakuja Kumsaidia Huku. Tea Bag Heko Kwa KUMKUNA Asprin Na Sasa Yale Madhiwa Yako Yanamlevya Na Kapagawa Na Wewe....Si Mchezo Mkuu!
Nina wasiwasi na wewe...
Wewe ni mwanachama wa simba au shabiki tu,
kama ni mwanachama umesoma katiba ya simba kama bado bado isome ili kuona kama rais wenu kafanya makosa au lah.
Hapo ndo umefikia kiwango chako cha mwisho au bado unaendelea??
Wewe Ni Mtoto Mdogo Sana Tena KIAKILI Kuniuliza Mimi Swali Lako Hilo La Ki POPOMA. Waulize Ma POPOMA Wenzio Kama Wapo Humu.
Aina Ya Simu Za Kichina Kama Hii Ninayo Tumia Kuandikia
Ili Uende Sawa Unalazimika Uanze Kuameika Alafu Useti Tena Herufi Ndogo
kama hapa nadhani umenielewa
kumbe huyu boya anatumia simu za kichina?