Kashfa Kubwa Simba SC! Evans Aveva jiuzuru upesi

Kashfa Kubwa Simba SC! Evans Aveva jiuzuru upesi

We mgeni wa huyu jamaa?ukimshauri tu jiandae kupokea matusi kwa herufi zote.

Simjui....

But I always a brotherly act to throw a town on someone proudly moving around bare arsed...
 
Siku zote unapombambana na mtu usipende kuwahusisha wazazi. Tuwaheshimu wazazi wetu.

Na Siku Zote Ukijua Unajibizana Na Gentamycine Basi Hakikisha Unakuwa Na Lugha Ya Kistaarabu Kwangu. Msitafutie KIKI Kwangu Please!
 
Simjui....

But I always a brotherly act to throw a town on someone proudly moving around bare arsed...

Ndiyo Ameshakuambia Hapo Mwenziyo Hivyo Jitahidi Unijue Vizuri.
 
......na anafikiri yuko so smart.

Naheshimu... infact mi ni shabiki wa man to man war.... inapoingizwa vita ya mtu kutafuta suport ya feelings kwa third party.... Hapana asee. Ntabakia shabiki wa anayejitegemea yeye as a man.
 
......na anafikiri yuko so smart.

Lini Umeona Mnyarwanda Tena Mwenye Damu Ya Ki Tutsi Anakuwa Mjinga Mjinga Na POPOMA? Karibu Na Wewe Kwa Watutsi Sisi.
 
Hivi huu uandishi wa kuanza na herufi kubwa kila neno unatokana na nini...

Aina Ya Simu Za Kichina Kama Hii Ninayo Tumia Kuandikia
Ili Uende Sawa Unalazimika Uanze Kuameika Alafu Useti Tena Herufi Ndogo

kama hapa nadhani umenielewa
 
  • Thanks
Reactions: RR
Aina Ya Simu Za Kichina Kama Hii Ninayo Tumia Kuandikia
Ili Uende Sawa Unalazimika Uanze Kuameika Alafu Useti Tena Herufi Ndogo

kama hapa nadhani umenielewa

Hahahahahaaa..... aisee ahsante kwa kunifumbua macho. Nlikuwa najiuliza mtu anapataje tabu kuandika uandishi wa namna hii?

cc @RR
 
  • Thanks
Reactions: RR

Similar Discussions

Back
Top Bottom