Kashfa IMMIGRATION Dar Airport


Unataka nani abadirike, hali ya hewa, serikali in general, or immigration in particular? Ulalamishi mwingine bwana!
 
Kuna mdau mmoja aliandika kitu kama hiki kwenye Michuzi blog juu ya wizi pale uwanjani na ubovu wa customer service mle ndani. Watu/watoa maoni walibisha sana wakati alichosema yule jamaa japo simjui ni vya ukweli mtupu because I see it here @ DIA every single day. Mi nafikiri sie watanzania hatupendi kuambiwa ukweli tunapenda kufichiana maovu matokeo yake ni uozo kama huu. Sitashangaa watu wakibisha hata na hili. Jamani tujirekebishe.
 
aisee siku hizi kusafiri kwa anga ni usumbufu.kila mfanyakazi wa idara husika lazima atie mbwembwe..
 
Aliyepost hii thread ni mbumbumbu & kilaza ile mbaya!Si kuwa aliyosema si sahihi,la hasha!Ila nadoubt elimu au uelewa wake juu ya majukumu ya idara mbalimbali za serikali na zisizo za serikali pale airport!Mambo mengine mfano kazi za idara ya uhamiaji yanafundishwa tangu shule za msingi!sasa huyu jamaa cjui alisomea wapi!Katika yote aliyoyaandika,ni moja tu linaloihusu uhamiaji(la congestion kwenye kupata visa),ambalo kimsingi ni tatizo la udogo wa eneo lililotengwa kwa kazi hiyo na ndo maana terminal 3 inajengwa pale kipawa!Wale pale exit gate siyo immigration officials,nenda kawacheki ID zao!Masuala ya bagage belt,escalator,AC,na pumba zingine alizotapika ni za Tza Airports Authority.Usiwe mropokaji,utaonekana kilaza bure kumbe umepitapita shule.
 

hao ni polisi wa jknia huwa wanakaa mlango wa kutokea na kuchagua watu wa kuwahoji lakini wanaangalia vijana na wachina tu wazungu wanawaogopa
 

hapo kwenye red wale sio immagration officer ni POLISI wa jknia na wa kitengo cha nzowa.
 
Yaani ukweli unabaki pale pale kuwa DIA haiko kwenye standards za kimataifa na bado kuna mengi ya kurekebisha.Inawezekana aliyeleta habari hii hapa ametia chumvi ama vipi lakini ukweli unabaki pale pale kuwa aliyoyaweka hapa yapo na yanatokea.

Haya mambo ni kweli yanafanyika sana pale DIA hata mimi mwaka jana mwezi wa 12 jamaa walifungua bag yng ambayo ilikuwa wraping,ajabu njiani nimepita airport kama 3 Dubai,Doha na ndege transit lakin haijafunguliwa,ajabu hata nguo zng za kuvaa naulizwa kama za biashara!kingine hawa jamaa wa hapo DIA sijui wana nini yaani tofauti na wafanyakaz wa air port nyngne duniani,mtu anapofika hawana sura za tabasam wao ukiwatazama sura zao zimejaa hasira sijui wana nini,kauli zao sasa,na kuna vidada huwa vinakaa mwanzo kabisa ukishuka ngazi pale haa vile ndo utadhani vimetoka kusoma talaka,maana vinamajibu ya ajabu sana,na ni ukweli hiyo haifai kuwa International air port bado sana iko mbali sana na air port za nchi nyingne mbayaa huduma mbovu,
 
Suala siyo kutendewa,suala ni kutendewa na nani?Uhamiaji wanahusika na visa & passport tu pale airport!mambo mengine kama kuibiwa begi na ***** mwingine alioandika **** mwenzio kuna idara zinazohusika.Mbona Tza ina mataahira wengi?au ndi maana nchi inapiga marktime ,haiendelei?someni elimu ya uraia.
 
Hilo ni jambo la kawaida sana tu, na ni kwa wakimbizi ambao wanakimbia nchi zao na kuomba uhifadhi hasa hasa nchi za ulaya - hivyo wanapewa pasi ya ukimbizi inayowaruhusu kusafiri lakini hawaruhusiwi kurudi nchini kwao na hilo linakuwa limeandikwa katika pasi zao.
 
Unataka nani abadirike, hali ya hewa, serikali in general, or immigration in particular? Ulalamishi mwingine bwana!

Sio ulalamishi. Mimi mwenyewe nina mtoto hajafikisha miaka 5 na ninaposafiri mara nyingi huwa tunapita Nairobi yaani pale hata ukienda msalani utawakuta wale kina dada wanaoshughulikia usafi wako standby na mara zote wako tayari kukusaidia. Ingawa Jomo Kenyata wananikera kwa udokozi katika mizigo "registered" lakini wanajitahidi sana kwa mambo mengine.
 
Jamani,tunaojua shughuli zinazofanyika airport tuwasaidie wenzetu hawa!Swissport wanahusika na boarding passes,baggages & passangers care to the board(plane),Uhamiaji ni visa & passport control,Tza Airport Authority wanahusika na security & airport building care n.k,kuna kampuni ya usafi,kuna porters n.k!Kifupi,hapo kuna taasisi chungu nzima!Sasa huyu mshamba kila alilotendewa airport,anadhani ni uhamiaji tu.Uhamiaji makao yao makuu yako Kurasini,pale airport wana kisehemu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…