Kashfa ambazo Rais Magufuli hazitaji wala kuziongelea hadharani

Kaz
Barabara nyingi kuwa chini ya Kiwango ...

MV DAR es Salaam ....meli kuuu kuu ya dola milioni 10 inayoenda bagamoyo Masaa matatu ..iliokuja kukAbiliana na tatizo la foleni.

Miradi wa Dart kutokamilika hadi Sasa Hasa KIPANDE CHA UBUNGO NATIONAL HOUSING -SINZA-UZURI-MAGOMENI KANISANI ....hicho vimejengwa vituo tu,hakuna Barabara
kazi ni kurudi Bandarini na Muhimbili kila siku, kwanza wanapaswa wajifunze kitu ni kwa nini huko makosa yanajiludia? Na kwa nini hizi ziara za ghafra hazimalizi matatizo? Waende kwenye miladi ya wizara nyeti waone maajabu maana wakifika huko nadhani Dunia itashangaa siku hiyo.
 
Mw
Hayo nayo yatasahaulika tu kama ilivyosahaulika Richmond.
mwenye Richmond yupo Msoga ni Mwenyekiti wa ccm nani atamgusa? Katiba hairuhusu Rais mstaafu kuguswa hata kama alikwapua pesa zote hadi wakashindwa kulipa mishahara.
 
Kwani hamuoni sasa hivi nani anaweza kuamua au kutotaka kitu kisifanyike?

Mh. Magufuli ametuonyesha kuwa ukiwa raisi ndio unaweza tenda yoteeee

Sasa yeye alipokuwa Waziri mnafikiri angefanyaje, mumemuona Waziri Ummy hadi Katibu Mkuu wa Afya wanachofanya jana je kwani nani kawakurupusha? Mh. Magufuli angekaa kimya leo si pangekuwa kama juzi

Mumwache kwa sasa afate diary yake, hata nyie mna diary zenu au sio na mipango yenu kibao hata kichwani mnatimiza kufanya

Hata majipu yakihamia miguuni atatumbua tu...
 
Ni kweli mkuu aanze na nyumba za serikali
BADO HAJAPEWA UDAKU NA WAPAMBE......
YALE YOTE ANAYOJIFANYA KUTUMBUA NI WAPAMBE NUKS WANAMPA NDO ANAKURUPUKA KUYAPASUA..
Wacha aendelee kupasua vijipu uchungu
tunamsubiri kwenye hayo MAJIPU UCHUNGU MAKUBWA kama ataweza kuyapasua hayo wapambe nao wakijitoa muhanga kumwambia KUMPA UDAKU hapo akiingilia na kuyapasua ntamwaminia
 
Kwani hamuoni sasa hivi nani anaweza kuamua au kutotaka kitu kisifanyike?

Mh. Magufuli ametuonyesha kuwa ukiwa raisi ndio unaweza tenda yoteeee

Sasa yeye alipokuwa Waziri mnafikiri angefanyaje, mumemuona Waziri Ummy hadi Katibu Mkuu wa Afya wanachofanya jana je kwani nani kawakurupusha? Mh. Magufuli angekaa kimya leo si pangekuwa kama juzi

Mumwache kwa sasa afate diary yake, hata nyie mna diary zenu au sio na mipango yenu kibao hata kichwani mnatimiza kufanya

Hata majipu yakihamia miguuni atatumbua tu...
umesahau hata yakihamia chini hapo napo atakupasua tu
 
NYUMBA ZA SERIKALI KAMUULIZE MHE. SUMAYE MAANA NDIO KATI YA VITU ALIJISIFIA SANA KWENYE CV YAKE NA ALIVITETEA KUPITA MAELEZO.

Hayo mengine yanafata utaratibu Wa nchi. Lazima yaanzie BUNGENI. HIVYO HAYO NI MAJIPU YA WABUNGE WAKIWEMO WA UPINZANI.

By the way Mahakama ya MAFISADI karibu itaanza. Mradi ikianza kazi msianze kulia ila oh! anaingilia uhuru Wa mahakama, maana hamkawii na hamna jema.

Queen Esther

1.Uuzaaji wa Nyumba za Serikali

2.Escrow

3.EPA

4.Ripoti ya CAG ya mwaka jana kuhusu wizara ya ujenzi.

5.Meremeta

6.Kagoda

7.Richmond

8.Mh.fulani kutuhumiwa Kujiuzia Mgodi wa Kiwira kwa bei ya kutupa

9.Sitting allowance za wabunge(hii sio kashifa ila ni tatizo kuliko hata gharama za kurusha live vikao vya Bunge), n.k

Rais Magufuli haya nayo ni majibu na mwili ni ule ule na maumivi yake huenda ni makubwa zaidi.
 
Kaz

kazi ni kurudi Bandarini na Muhimbili kila siku, kwanza wanapaswa wajifunze kitu ni kwa nini huko makosa yanajiludia? Na kwa nini hizi ziara za ghafra hazimalizi matatizo? Waende kwenye miladi ya wizara nyeti waone maajabu maana wakifika huko nadhani Dunia itashangaa siku hiyo.


Mimi naunga mkono juhudu za magufuli nikiwa na tahadhari kubwa kwa kuwa sioni juhudi za yeye kujenga mfumo imara za kauli mbinu ya hapa kazi tu kusambaa kwenye na kujijenga kitaasisi ....badala yake watendaji wanakuwa kama viranja wakisubiri mwalimu mkuu aseme.

Kauli mbinu ya hapa kazi tu haitakiwi kumfanya Rais kama Manjwi au conductor wa kwaya , huwezi kutoa suluhisho za papo kwa papo bila utafiti , ukizingatia yeye ni msomi ,style hizi Za MREMAISM Au SOKOINEISM angeweza kuzifanya kitofauti.
Mfano unaenda muhimbili ghafla na kuitwa ghafla ward ya wanawake na kutoa solution ya ghafla kwa jengo tu unaloliona pembeni na kufikiri halina kazi ....SIO SAHIHI .

Muhimbili ni shirika lenye majukumu mengi , na kuna ofisi za aina mbali mbali za wizara hata serikali mle ndani na kila moja ina jukumu zito ,pia kuna majengo mle ndani ni ya miradi mbali mbali ya kimataifa nakadhalika........haikuwa sahihi kutoa jibu la papo kwa papo la kuhamisha shughuli za coordinator wa uzazi wa mpango nchini bila kujua kama kuna madhara yeyote ..ukizingatia mle ndani kuna data base ,,,libraries ,resource centres , sehemu za mafunzo etc .....wanaweza kuwa wafanyakazi 70 ndani lakini ukashangaa nao nafasi haiwatoshi kwa kuwa wote watakuwa wengi ni mabingwa kwenye fani zao ...

Bado najiuliza kama ni lazima kila maama akajifungulie muhimbili, hicho ndicho chanzo cha msongamano , wakati kwa sasa hata vituo vya afya vinazalisha .....ningetegemea muhimbili waende kinamama ambao uzazi wao utahitaji uangalizi wa kibingwa ,ambao huko kote hauwezi kushughulikiwa ...tatizo la msongamano muhimbili ni referral system mbovu ...huko chini ...na muhimbili kuzembea kwenye admission system
YOTE HAYO YANGETAZAMWA TUNGEENDELEA KUWA NA OFISI YA URATIBU WA UZAZI WA MPANGO AMBAO NAO NI MUHIMU SANA
 
  • Thanks
Reactions: mkd
Basi kuna haka gani kufuatilia kontena zilizopita bila kulipiwa kama yakale hayanuki?
Tukubali kuwa kujitumbua jibu yataka ujasiri
Kontena zinahusika na kinachoendelea mpaka leo. Kashfa za mwaka arobaini zitafuatiliwa lakini kipaumbele ni kinachoendelea sasa.
 
Kontena zinahusika na kinachoendelea mpaka leo. Kashfa za mwaka arobaini zitafuatiliwa lakini kipaumbele ni kinachoendelea sasa.
Mwaka 47? Wakati Singasinga tunaambiwa bado anavuta 8bil kila mwezi?
 
1.Uuzaaji wa Nyumba za Serikali

2.Escrow

3.EPA

4.Ripoti ya CAG ya mwaka jana kuhusu wizara ya ujenzi.

5.Meremeta

6.Kagoda

7.Richmond

8.Mh.fulani kutuhumiwa Kujiuzia Mgodi wa Kiwira kwa bei ya kutupa

9.Sitting allowance za wabunge(hii sio kashifa ila ni tatizo kuliko hata gharama za kurusha live vikao vya Bunge), n.k

Rais Magufuli haya nayo ni majibu na mwili ni ule ule na maumivi yake huenda ni makubwa zaidi.


Kashfa ya fedha za wafadhili zilizotafunwa kule TAMISEMI
 
10- kununua kivuko cha Dar Bagamoyo kwa billion 8 bei kubwa mara dufu ya kivuko kipya cha Azam. 11- mikataba ya madini na Gesi pamoja na uagizaji Sukari nje. 12- Ujenzi wa barabara nyembamba sana kati ya ubungo na magomeni. 13- mali na mapesa ya Marehemu Gadafi pamoja na Ufujaji wa pesa wizara ya mambo ya nje.
wewe muongo kabisa.barabara za mjini unataja mibio ya nini.ukienda mwendi mzuri barabara zinatosha kabisa.alafu hicho kivuko cha azam kimelipiwa kodi kiasi gani
 
Kashfa ya Zanzibar bado mbichi

SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na tutalimaliza haraka.....

SIKU YA KRISMASI:
Kama nilivyoahidi bungeni suala la Zanzibar tutalimaliza karibuni

SIKU YA WAZEE WA MKOA WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi kuliingilia kwasababu tume huru na haiwezi kuingiliwa na chombo chochote....

Kwa akili ya maCCM tumesahau hizi kauli alizozitoa rais wao.

UNAFIKI KWA KWENDA MBELE RAIS WA NEC
 
Back
Top Bottom