I think JF should install anticrap kwenye forum ili kuchuja some of these nonsense
Sina ushabiki tena na siasa za bongo, hazijakomaa kabisa
Alifungwa liniHuyu si yuko jela? Amatus Liyumba?
Subiri 2015, sijui hapo atalaumiwa nani? Utabiri ulishafikiwa kuwa SSM inafiwa mikononi mwa mkwere, period!!!
sita nae ni mchafu pia ndiyo maana hawezi kuhama CCM hata hivyo atapozwa na uwaziri....Ni mtazamo wangu, Sita hakustaili kugombea kupitia chama cha CCM kwa heshima aliyonayo kwa sasa katika nchi hii,si heshima ya kulazimisha bali inatokana na uwezo na umakini alionao katika kupambanua mambo pia ana uzalendo na nchi yake, chama kinachomfaa ni CHADEMA
Mimi nilijua walivyoanza kumunyoshea vidole wale mafisadi angesoma alama za nyakati kwa kukipiga chini CCM na kugombea kupitia chama makini, lakini nafasi bado anayo anaweza akapiga chini ubunge kitakachofuata ni kutangazwa kwa uchaguzi upya na yeye nina uhakika atalichukua lile jimbo kupitia CHADEMA tuongeze idadi ya wapiganaji , yule mama najua atapumua kwa taabu kwaza leo tu kachemsha