Kasheshe urambo

Mwiniko anafahamika sana Urambo kwa mambo yake yasioenda shule na yaajabu kweli!wana JF mnaitaji CV yake?
 
I think JF should install anticrap kwenye forum ili kuchuja some of these nonsense

Wait!
In front of other four-legged animals, man is full of nonsense for using two limbs instead of the orthodox mammals' legs number, four.


It is just perception.
 
Sina ushabiki tena na siasa za bongo, hazijakomaa kabisa

nnoli anasema katika chapisho lake mwanadamu ni mwanasiasa kwa asili na wewe ni matokeo ya hiyo siasa hivyo basi jitambue kabla ya kufikia uamuzi wa juu juu tambua ukweli mzeia!
 
Sitta asisingiziwe kwa lolote, kwani angewalazimisha watu kuchagua mtu wasiyemtaka? Hizo zitakuwa siasa nyepesi na za maji taka. Msiwe na hofu wazee, mabadiliko yanakuja kwa kishindo watake wasitake mzunguko wa CCm umeshakamilika ni lazima waachie nchi. Tusomeni nyakati.
 
Ccm hawana jipya kwa tz,baada ya kanali kuapishwa tayari sementi imepanda kwa asilimia 75%na mabati kwa asilimia 50% mfumko wa bei kwa asilimia 52% na bado mtauona moto nani ya miaka mitano ya kanali mchakachuaji.
 
Ni mtazamo wangu, Sita hakustaili kugombea kupitia chama cha CCM kwa heshima aliyonayo kwa sasa katika nchi hii,si heshima ya kulazimisha bali inatokana na uwezo na umakini alionao katika kupambanua mambo pia ana uzalendo na nchi yake, chama kinachomfaa ni CHADEMA
Mimi nilijua walivyoanza kumunyoshea vidole wale mafisadi angesoma alama za nyakati kwa kukipiga chini CCM na kugombea kupitia chama makini, lakini nafasi bado anayo anaweza akapiga chini ubunge kitakachofuata ni kutangazwa kwa uchaguzi upya na yeye nina uhakika atalichukua lile jimbo kupitia CHADEMA tuongeze idadi ya wapiganaji , yule mama najua atapumua kwa taabu kwaza leo tu kachemsha
sita nae ni mchafu pia ndiyo maana hawezi kuhama CCM hata hivyo atapozwa na uwaziri....
 
Back
Top Bottom