Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,687
- 3,407
Hata Magufuli ameona ni upuuzi kwenda kusali kwa Kiarabu kwenye kaburi la Karume. Kajitafutia udhuru, Rwanda.
![]()
Mambo ya protocol hayo, mwenye baba yuko mbali na kaburi.
Hata Magufuli ameona ni upuuzi kwenda kusali kwa Kiarabu kwenye kaburi la Karume. Kajitafutia udhuru, Rwanda.
![]()
Leo ni Karume day ambapo huwa sielewagi umuhimu wake kwa huku Tanganyika hadi kuifanya iwe mapumziko. Naona Rais pia kaamua kwenda kuhudhuria kumbukumbu ya mauaji ya halaiki huko Rwanda, nadhani ipo haja ya kuifuta hii siku kwa huku Tanganyika kwani inaongeza tu utitiri wa siku za mapumziko.
Swali la kujiuliza ni kuwa hivi huyo Karume hadi tumkumbuke alitufanyia nini hasa Watanganyika?
Zanzibar ni nchi huru? unajua sifa za nchi huru wewe? unahitaji kusoma somo la Civics au uraia, nitakulipia hela ya tuitionNchi huru ijeuke kuwa mkoa? Ama kweli Tanzania tuna wajinga wengi Mno! Elimu elimu elimu
Yaani kwanza kabla ya kubishana naomba kujua elimu yako kwanza.Samahani kwa hilo.So Zanzibar ni mkoa? Civics ipi ilikuambia Zanzibar sio nchi?Ama kweli vila...za wapo wengi.utakuwa ulisoma kenya wewe.https://www.google.com/url?sa=t&rct...IjgHij8xasKOuTqaQ&sig2=ofB8LrBCa2lZXgr1JvybQAZanzibar ni nchi huru? unajua sifa za nchi huru wewe? unahitaji kusoma somo la Civics au uraia, nitakulipia hela ya tuition
Ni sahihi kabisa kuendelea na ziara yake Rwanda, pamoja na kushiriki kuomboleza vifo vya halaiki vya nyarwanda, badala ya kuhudhuria maombilezo ya kio cha muasisi wa muungano, hayati Karume.Rais Magufuli yupo nchini Rwanda akihudhulia maazimisho ya kumbukumbu zoa mauaji ya Kimbali yaliyotokea 1994. Ni kitu kizuri kinachoenesha mshikamano na jirani zetu kuonesha jinsi gani tumeguswa na maafa hayo makubwa.
Ikumbukwe pia leo ni maazimisho ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili hayatiMzee wetu mwanamapinduzi Abeid Aman Karume.
Swali kwa Watanzania ni kwamba event ipi ni muhimu Kitaifa kati ya hizo mbili? Je haikuwa muhimu sana kwa Rais kuwa Zanzibar na kushirikiana na Wanzanzibari kuazimisha kifo cha Karume?
Je, ingekuwa kifo cha Nyerere, Magufuli angekwenda Kigali?
Mimi binafsi, msimamo wangu ni kuwa Rais amekengeuka. Natoa hoja.
Zanzibar alikuwepo Makamu au ulitaka wote walundikane z'bar?Rais Magufuli yupo nchini Rwanda akihudhulia maazimisho ya kumbukumbu zoa mauaji ya Kimbali yaliyotokea 1994. Ni kitu kizuri kinachoenesha mshikamano na jirani zetu kuonesha jinsi gani tumeguswa na maafa hayo makubwa.
Ikumbukwe pia leo ni maazimisho ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili hayatiMzee wetu mwanamapinduzi Abeid Aman Karume.
Swali kwa Watanzania ni kwamba event ipi ni muhimu Kitaifa kati ya hizo mbili? Je haikuwa muhimu sana kwa Rais kuwa Zanzibar na kushirikiana na Wanzanzibari kuazimisha kifo cha Karume?
Je, ingekuwa kifo cha Nyerere, Magufuli angekwenda Kigali?
Mimi binafsi, msimamo wangu ni kuwa Rais amekengeuka. Natoa hoja.
kwani nimesema Zanzibar ni mkoa? nimesema Zanzibar ingekua mkoa, unaelewa maana ya neno ingekuwa wewe 'msomi'?Yaani kwanza kabla ya kubishana naomba kujua elimu yako kwanza.Samahani kwa hilo.So Zanzibar ni mkoa? Civics ipi ilikuambia Zanzibar sio nchi?Ama kweli vila...za wapo wengi.utakuwa ulisoma kenya wewe.https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwi2vajizv7LAhVMXhoKHdc0CxsQFggdMAA&url=https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri_ya_Watu_wa_Zanzibar&usg=AFQjCNFCGhcj5cyJUIjgHij8xasKOuTqaQ&sig2=ofB8LrBCa2lZXgr1JvybQA
Zanzibar wamesimika kibaraka tayari hakuna la ziada huko.Rais Magufuli yupo nchini Rwanda akihudhulia maazimisho ya kumbukumbu zoa mauaji ya Kimbali yaliyotokea 1994. Ni kitu kizuri kinachoenesha mshikamano na jirani zetu kuonesha jinsi gani tumeguswa na maafa hayo makubwa.
Ikumbukwe pia leo ni maazimisho ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili hayatiMzee wetu mwanamapinduzi Abeid Aman Karume.
Swali kwa Watanzania ni kwamba event ipi ni muhimu Kitaifa kati ya hizo mbili? Je haikuwa muhimu sana kwa Rais kuwa Zanzibar na kushirikiana na Wanzanzibari kuazimisha kifo cha Karume?
Je, ingekuwa kifo cha Nyerere, Magufuli angekwenda Kigali?
Mimi binafsi, msimamo wangu ni kuwa Rais amekengeuka. Natoa hoja.
Karume day ingebaki ZnZ tu, maana ya Zanzibar hayatuhusu.Leo ni Karume day ambapo huwa sielewagi umuhimu wake kwa huku Tanganyika hadi kuifanya iwe mapumziko. Naona Rais pia kaamua kwenda kuhudhuria kumbukumbu ya mauaji ya halaiki huko Rwanda, nadhani ipo haja ya kuifuta hii siku kwa huku Tanganyika kwani inaongeza tu utitiri wa siku za mapumziko.
Swali la kujiuliza ni kuwa hivi huyo Karume hadi tumkumbuke alitufanyia nini hasa Watanganyika?
Hujui hata unabishana nini naomba niishie hapo!kwani nimesema Zanzibar ni mkoa? nimesema Zanzibar ingekua mkoa, unaelewa maana ya neno ingekuwa wewe 'msomi'?
usikurupuke kujibu watu kama hujawaelewa
ni bora ukakaa kimya tu maaana uelewa wako ni finyu sana kujadiliana na mtuHujui hata unabishana nini naomba niishie hapo!