Na hapo ndo mahusiano maalum yanapojengwa. Unafungua border na kuimarisha ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi.Hivi maadhimisho ya genocide yamehudhuriwa na marais gani wengine zaidi ya magufuli?
Nchi huru ijeuke kuwa mkoa? Ama kweli Tanzania tuna wajinga wengi Mno! Elimu elimu elimumagufuli hapendi sherehe za kipuuzi ambazo hazina tija, yupo Rwanda anafanya connection zenye tija kiuchumi....ndio rais tunayemtaka....
kuhudhuria hiyo Rwandan genocide ni kama sehemu ya ku establish goodwill na Wanyarwanda ambao wana tija zaidi kwetu kiuchumi kuliko Zanzibar.
Zanzibar ni liability kwetu.
Zanzibar wangekubali kuwa mkoa ndani ya Tanzania basi, mambo yangekuwa simple sana
Thread closed.magufuli hapendi sherehe za kipuuzi ambazo hazina tija, yupo Rwanda anafanya connection zenye tija kiuchumi....ndio rais tunayemtaka....
kuhudhuria hiyo Rwandan genocide ni kama sehemu ya ku establish goodwill na Wanyarwanda ambao wana tija zaidi kwetu kiuchumi kuliko Zanzibar.
Zanzibar ni liability kwetu.
Zanzibar wangekubali kuwa mkoa ndani ya Tanzania basi, mambo yangekuwa simple sana
alimtuma makamu wa raisi kwenda kumuwakilisha yeye zanzibar... alafu yeye akaenda kutengeneza mahusiano njee... ni mipango tu..Rais Magufuli yupo nchini Rwanda akihudhulia maazimisho ya kumbukumbu zoa mauaji ya Kimbali yaliyotokea 1994. Ni kitu kizuri kinachoenesha mshikamano na jirani zetu kuonesha jinsi gani tumeguswa na maafa hayo makubwa.
Ikumbukwe pia leo ni maazimisho ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili hayatiMzee wetu mwanamapinduzi Abeid Aman Karume.
Swali kwa Watanzania ni kwamba event ipi ni muhimu Kitaifa kati ya hizo mbili? Je haikuwa muhimu sana kwa Rais kuwa Zanzibar na kushirikiana na Wanzanzibari kuazimisha kifo cha Karume?
Je, ingekuwa kifo cha Nyerere, Magufuli angekwenda Kigali?
Mimi binafsi, msimamo wangu ni kuwa Rais amekengeuka. Natoa hoja.
Zanzibar kulikuwa na kisomo cha Hitma cha almarhum Sheikh Abeid Aman KarumeZanzibar kufanya nini acha mawazo mgando.
kumuwakilisha kwenye hitma ndio unaona kitu kikubwa,ziara ya rwanda pia ni kwenda kwenye hitma ya genocide ya 1994 rais amekacha msiba wa nyumbani akaenda msiba wa jiranialimtuma makamu wa raisi kwenda kumuwakilisha yeye zanzibar... alafu yeye akaenda kutengeneza mahusiano njee... ni mipango tu..
Na kama ni mfatiliaji mzuri unaona ni jinsi gani magufuli anajaribu kurudisha thamani ya makamu wa raisi kwa kumpa kazi za kubwa... kumuwakilisha sehemu mbali mbali kama unakumbuka alienda hata south afrika...
kwangu mimi sijaona ubaya wowote