ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
Mk
Mkuuu.muasis wetu ni nyerere sio karume
USherehe zote mbili za maaadhimisho hufanyika chini ya Sheria "The Founders of The Nation Honouring Procedures Act, 2004". Sheria hii pamoja na mambo mengine imeainisha siku ya kumbukumbu za waasisi hao.
Aidha, imetoa utaratibu wa namna ya utunzaji na utumiaji wa nyaraka mbalimbali zinazowahusu waasisi hao. Pia, Sheria hii imetamka kuwepo mchakato wa kujenga Kituo "archive" ya waasisi--mpaka sasa imeshaamuliwa kitajengwa Bagamoyo kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa pamoja na Nyaraka.
Wawili hawa ni sehemu muhimu wa historia ya Tanzania ya leo, ile ya mara baada ya vuguvugu la kukataa ukoloni. Duniani kote waasisi huenziwa na siku zao kukumbukwa. Marekani kwa mfano, hata kama si kwa mapumziko, kila mwaka wana Martin Luther Day ambayo huitumia kuwatunza wanaharakati mbalimbali wa Haki za Binadamu duniani.
Mkuuu.muasis wetu ni nyerere sio karume