Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Ya sisiem waachie mafisadi mimi sitii neno
hivi kuamshwa watu ili waijue haki yao vibaya,na karume kukubali maoni ya babayenu nyerere zanzibar ili ikae sawa inatakiwa serikali ya umoja wa kitaifa,oo eti tuna muenzi nyerere .NYIE WAGALATIA NA KARUME nani kamuenzi nyerere,tunajua agenda zenu zanzibar kuichafua .istawalike ili mkafanye machafu kuua uislamu.ndiyo maana kwa kuwachukia waislamu na wapemba wlipouwawa kwa maelfu na mkapa nawengine kukimbilia shimoni mlichekelea sana sababu ni waislamu .mbona hamfuati mfundisho ya biblia MPENDE ADUI YAKO .Huyo ndo karume a.k.a Mtoto wa diria,mwana uamsho mkubwa asiye na chembe hata ya shukrani kwa muungano uliombeba,atakula jeuri yake sasa.
Acha hizo mkuu!
Waliompokea Dr Shein tena kwa wingi basi walikuwa CUF!
Tena wakaishia kurarua taswira za Sheikh Amani Karume?