King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,754
Kama mnataka mali mtazipata Bungeni?
Ilo nalo neno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnataka mali mtazipata Bungeni?
Hayo yote mkuu naoana ngoma droo. Lakini vitu vya zamani vyote vilikuwa vikali ni vigumu kuamua kipi cha kwanza na cha pili. Sasa hivi hovyo kabisa hata watoto hawana wanachozungumza au kukikariri baada ya shule.Duh! We jamaa, hili shairi umekariri au umelikopi toka kwenye kitabu? Maana ulivyotiririka!
Lakini mimi huwa nashindwa kuelewa lipi maarufu zaidi kati ya hili na lile la jingine la
"Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia..."
'asiye jua kusoma ni mjinga kabisa,barua ikija aitembeza kutwa'..hii nyimbo ilinifanya nifanye juhudi zote ili nijue kusoma..darasa la kwanza na la pili,mwalimu wetu alikuwa anatuita mbele mmoja mmoja kusoma kwenye ubao...ukishindwa,wenzako wanakuimbia hiyo nyimbo,halafu wanakuzomea..dah
Aisee hata mi nimeshindwa kutoa jibu ni lipi lilikuwa maarufu.Duh! We jamaa, hili shairi umekariri au umelikopi toka kwenye kitabu? Maana ulivyotiririka!
Lakini mimi huwa nashindwa kuelewa lipi maarufu zaidi kati ya hili na lile la jingine la
"Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia..."
sizitaki mbivu hizi ndio zuri
Nimemkumbuka had mwalim wangu wa kiswahil gedel pale mwanza
Kama mnataka mali mtazipata Bungeni?