martin thobias
New Member
- Aug 29, 2014
- 4
- 0
Enzi ya kufuta makamasi na kulamba
hakika sikufaulu kuielewa sentensi hii!dah bali sanaa kuree dara la nne!
Nimeikumbuka sana ile picha kwenye hilo shairi, sungura akijaribu kurukia zile ndizi,
Sizitaki mbichi hizi, twende tukawinde, heri mimi sijasema!!
Jogoo aliyesema
Wanafunzi wa siku hizi wana hadithi gani?
[/FONT said:Umenikumbusha mbali. PAZI NA JOGOO, MZEE MWETA, ANDUNJE, SADIKI NA SIKIRI, LINDU AMWOKOA KAPILIMA
Andunje sikumbuki ilikuwa darasa la ngapi vile.
Niliita Pazi na jogoo kumbe ni jogoo aliyesema " hapo ulipooooooo"
Ha ha haa, teh teh teeh, Heri mimi sijasema ni kitabu cha Juma na Roza, humo kuna Manenge na Mandawa.