Karne ya 8-15 Waarabu walifocus katika science huku ulaya wakifocus katika dini. Leo imekuwa vice versa

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Uvumbuzi, uchunguzi na Uundaji kutoka uarabuni ni moja ya chachu zilizosaidia katika ukuaji na civilization huko ulaya.

Huku mzungu akiwa anahangaika na maswala ya dini yeye mwarabu alikuwa katika age ya science. Kwa kipindi hicho waarabu waliweza kubuni vitu kama order of algebra, magnetic compass, vifaa vya navigation, printing, tiba na njia za kuepuka za magonjwa mbali mbali, utengenezaji wa kioo, taa ya mafuta na vingine vingi sana.

Baadae angukio lao likawa kwenye dini huku misingi ya dini ndio ikawa katiba ya maisha yao katika nyanja zote. Hii ilipelekea kuanguka katika sekta ya ufumbuzi na uundaji huku itikadi za dini ikiwa ndio msimamo wao mkuu.

Mzungu aliamua kuitoa dini kama ndio swala lao la msingi na wakashift focus yao katika uundaji, uchunguzi na uvumbuzi ili kuwasaidia katika maendeleo yao.

Huku wakitumia na ku-upgrade technology waliyo adapt kutoka kwa majirani na technology yao wenyewe ilipelekea Ulaya hadi leo kuwa juu kimaendeleo kuliko bara lolote duniani.

Ila recently naona nchi chache za waarabu mambo yao yamebadilika kidogo huku wakiamua kuukubali usasa (modernity) na ku-invest zaidi katika futurism na tourism.
 
jana nimeona kwenye simu jamaa kachoka na mchungaji nae kapigika.mchungaji anamuombea jamaa kwa kumpa upako wa makontena kutoka China😅

Africa tupo huku👆
 
Na miaka hiyo ndio kulitokea Dark Age baada ya kuanguka kwa Roman Empire, hakukubaki na state au empire kubwa ya kuunganisha na kutoa stability ya akili kutulizana kufanya maendeleo. Wazungu wakakomaa kwenye kuabudu na kuamini Bwana atatenda.

Waarabu walipoachana na golden age yao ya Uarabuni wakaenda kwenye inshaallah.

Wachina wao dini hazikusumbua, vita ya dynasties zao kina Qing, Ming, Yuan, etc ndio zilisumbua ingawa nazo zilileta ugunduzi kama gunpowder.

Sisi tulikuwa tunaua albino, tunaroga watoto wa mjomba na kucheza ngoma.
 
Na miaka hiyo ndio kulitokea Dark Age baada ya kuanguka kwa Roman Empire, hakukubaki na state au empire kubwa ya kuunganisha na kutoa stability ya akili kutulizana kufanya maendeleo. Wazungu wakakomaa kwenye kuabudu na kuamini Bwana atatenda.

Waarabu walipoachana na golden age yao ya Uarabuni wakaenda kwenye inshaallah.

Wachina wao dini hazikusumbua, vita ya dynasties zao kina Qing, Ming, Yuan, etc ndio zilisumbua ingawa nazo zilileta ugunduzi kama gunpowder.

Sisi tulikuwa tunaua albino, tunaroga watoto wa mjomba na kucheza ngoma.
Haahhaah

HASWAAAA.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Uvumbuzi, uchunguzi na Uundaji kutoka uarabuni ni moja ya chachu zilizosaidia katika ukuaji na civilization huko ulaya.

Huku mzungu akiwa anahangaika na maswala ya dini yeye mwarabu alikuwa katika age ya science. Kwa kipindi hicho waarabu waliweza kubuni vitu kama order of algebra, magnetic compass, vifaa vya navigation, printing, tiba na njia za kuepuka za magonjwa mbali mbali, utengenezaji wa kioo, taa ya mafuta na vingine vingi sana.

Baadae angukio lao likawa kwenye dini huku misingi ya dini ndio ikawa katiba ya maisha yao katika nyanja zote. Hii ilipelekea kuanguka katika sekta ya ufumbuzi na uundaji huku itikadi za dini ikiwa ndio msimamo wao mkuu.

Mzungu aliamua kuitoa dini kama ndio swala lao la msingi na wakashift focus yao katika uundaji, uchunguzi na uvumbuzi ili kuwasaidia katika maendeleo yao.

Huku wakitumia na ku-upgrade technology waliyo adapt kutoka kwa majirani na technology yao wenyewe ilipelekea Ulaya hadi leo kuwa juu kimaendeleo kuliko bara lolote duniani.

Ila recently naona nchi chache za waarabu mambo yao yamebadilika kidogo huku wakiamua kuukubali usasa (modernity) na ku-invest zaidi katika futurism na tourism.





Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Bora waarabu wamefocus kwenye dini sasa kuliko technolojia. Yesu ndo kila kitu lakini wagalatia tunamuangusha sana mtu wetu wa nguvu.

BILA YESU YOTE NI BURE!
 
Na miaka hiyo ndio kulitokea Dark Age baada ya kuanguka kwa Roman Empire, hakukubaki na state au empire kubwa ya kuunganisha na kutoa stability ya akili kutulizana kufanya maendeleo. Wazungu wakakomaa kwenye kuabudu na kuamini Bwana atatenda.

Waarabu walipoachana na golden age yao ya Uarabuni wakaenda kwenye inshaallah.

Wachina wao dini hazikusumbua, vita ya dynasties zao kina Qing, Ming, Yuan, etc ndio zilisumbua ingawa nazo zilileta ugunduzi kama gunpowder.

Sisi tulikuwa tunaua albino, tunaroga watoto wa mjomba na kucheza ngoma.
Dini na uchawi sio kikwazo cha maendeleo katika afirika yetu bali wizi wa wanasiasa wetu ndio chimbuko la umasikini afirika dini mnazipakazia tu nani kiongozi wa dini alie wai kuwa raisi wa nchii tungu tupate uhuru au kiongozi wa wachawi
 
Bora waarabu wamefocus kwenye dini sasa kuliko technolojia. Yesu ndo kila kitu lakini wagalatia tunamuangusha sana mtu wetu wa nguvu.

BILA YESU YOTE NI BURE!
Watawala wote wanchi za kiarabu hakuna anae shadadia dini wengi wao niwafalume ila wametuzi kupendana wao kwa wao keki ya taifa inamfikia kila mtu kwa njia moja au nyingine,viongozi wetu wa kiafirika kazi wizi tu
 
Dini na uchawi sio kikwazo cha maendeleo katika afirika yetu bali wizi wa wanasiasa wetu ndio chimbuko la umasikini afirika dini mnazipakazia tu nani kiongozi wa dini alie wai kuwa raisi wa nchii tungu tupate uhuru au kiongozi wa wachawi
Wapi nimesema dini ilikuwa kikwazo cha maendeleo Africa?
 
TATIZO LA AFRIKA NI SIASA NA WALA C DINI.SIASA NZURI KM NAMIBIA SA NA BOTSWANA NDYO MANA KUNA MAENDELEO.SIASA MBOVU KM TZ UCHUMI MBYA
 
Uvumbuzi, uchunguzi na Uundaji kutoka uarabuni ni moja ya chachu zilizosaidia katika ukuaji na civilization huko ulaya.

Huku mzungu akiwa anahangaika na maswala ya dini yeye mwarabu alikuwa katika age ya science. Kwa kipindi hicho waarabu waliweza kubuni vitu kama order of algebra, magnetic compass, vifaa vya navigation, printing, tiba na njia za kuepuka za magonjwa mbali mbali, utengenezaji wa kioo, taa ya mafuta na vingine vingi sana.

Baadae angukio lao likawa kwenye dini huku misingi ya dini ndio ikawa katiba ya maisha yao katika nyanja zote. Hii ilipelekea kuanguka katika sekta ya ufumbuzi na uundaji huku itikadi za dini ikiwa ndio msimamo wao mkuu.

Mzungu aliamua kuitoa dini kama ndio swala lao la msingi na wakashift focus yao katika uundaji, uchunguzi na uvumbuzi ili kuwasaidia katika maendeleo yao.

Huku wakitumia na ku-upgrade technology waliyo adapt kutoka kwa majirani na technology yao wenyewe ilipelekea Ulaya hadi leo kuwa juu kimaendeleo kuliko bara lolote duniani.

Ila recently naona nchi chache za waarabu mambo yao yamebadilika kidogo huku wakiamua kuukubali usasa (modernity) na ku-invest zaidi katika futurism na tourism.

Science ipi hiyo bro? Nitajie uvumbuzi wao waliofanya hizo karne 7, yaani miaka 700.
 
Dini na uchawi sio kikwazo cha maendeleo katika afirika yetu bali wizi wa wanasiasa wetu ndio chimbuko la umasikini afirika dini mnazipakazia tu nani kiongozi wa dini alie wai kuwa raisi wa nchii tungu tupate uhuru au kiongozi wa wachawi
Dini na uchawi kwa upande wa Africa vimekuwa na uharibifu wa akili kiasi.
 
Back
Top Bottom