Karma ni moja ya njia ya masikini kujifariji

Karma ni moja ya njia ya masikini kujifariji

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,467
Reaction score
28,902
Karma ni stori tunayojiambia ili kuyapunguza maumivu ya maisha, lakini kweli kabisa, maisha ni kama roulette—sometimes unashinda, sometimes unapoteza, na mara nyingi inategemea tu uko kwenye angle gani.

Anayewaonea atakufa, ataacha mali aliowachukulia kwa utapeli na itakayorithiwa na watoto ili wawaonee wajukuu zenu. Hakuna nguvu yoyote isionekana eti itakuja kuwamaliza wale watoto au mali yake. Ni wao wenyewe na maamuzi yao.

Tabu itampata kila mtu na haswa mnyonge wa kuonewa na asie na pesa wala maudhi na yoyote na mtu yoyote.

Life's b++ch and then you die!
 
Ni sawa na mtu anapitiq magumu au matatizo halafu anajipa faraja kwamba Mungu anamjaribu au anamuandalia jambo Fulani zuri.
Hiyo ni kujifariji tu, wewe unateseka tu hakuna mtu anyekujaribu.
 
Screenshot_20240909-125838~2.jpg
 
asante kwamaada nzuri kiongozi.
kuhusu karma nadhani utakua umepewa tafsiri isio sahihi na mwalimu wako au mtandao ulio jifunza.
karma is real nainafanya kazi kwakila mtu.
 
Back
Top Bottom