TPP
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 650
- 782
- Thread starter
- #41
Vipi kuhusu mchanganyo wa falsafa katika ustadi uliobora unaweza leta matokeo chanya kwa mataifa ya Afrika ?ikumbukwe kuwa kupanga ni kuchagua kama mataifa ya kiafrica yabakubaliana na ubepari basi technically tumefail koz ubepari unahitaji figisu sana kufikia maendeleo na bado hatujawa matured ni sawa na mtu kaamua kuwa mwizi na kuishi na wezi wenzake wafanye mambo yao lakin mwiz mmoja anaibiwa sana koz yeye ni mchanga kwenye game.
ukomunisti ni kwa watu walio serious sana wao hawataki utani na ujinga mfano mzuri so mnamuona putin
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app