Karl Marx, Adam Smith and Others…!

ikumbukwe kuwa kupanga ni kuchagua kama mataifa ya kiafrica yabakubaliana na ubepari basi technically tumefail koz ubepari unahitaji figisu sana kufikia maendeleo na bado hatujawa matured ni sawa na mtu kaamua kuwa mwizi na kuishi na wezi wenzake wafanye mambo yao lakin mwiz mmoja anaibiwa sana koz yeye ni mchanga kwenye game.

ukomunisti ni kwa watu walio serious sana wao hawataki utani na ujinga mfano mzuri so mnamuona putin

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu mchanganyo wa falsafa katika ustadi uliobora unaweza leta matokeo chanya kwa mataifa ya Afrika ?
 
Mimi naamini sana ukomunisti lakin mfumo wa maisha unanibidi niishi kwa katika ubepari kulingana na uhalisia wa maisha lakin mfumo unabadilika sana hasa miaka ya karibuni.

falsafa (Philosophy)
"feel Sophia "
"mpende Sophia"
"sophia=busara"
"philo =mapenzi"
"Sophie's=busara
"philosophy ni kupenda busara"
"sasa kuna busara gani katika unyonyaji"
"je ni sawa kwa binadamu mmoja kumnyonya mwengine kiuchumi,kidini,kiutamaduni,kimawazo? kama tunaamini binadamu ni sawa na wote tumeumbwa na mungu mmoja ambaye ni baba yetu sote
" kama ni hivo kwa nini mzungu anaona weusi hatufai?waarabu hawa hawafai, Asia kama wanaahueni.

Sasa kama watu tunaofikiri katika busara hatuwaungi mkono.






Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Mimi naamini sana ukomunisti lakin mfumo wa maisha unanibidi niishi kwa katika ubepari kulingana na uhalisia wa maisha lakin mfumo unabadilika sana hasa miaka ya karibuni.

falsafa (Philosophy)
"feel Sophia "
"mpende Sophia"
"sophia=busara"
"philo =mapenzi"
"Sophie's=busara
"philosophy ni kupenda busara"
"sasa kuna busara gani katika unyonyaji"
"je ni sawa kwa binadamu mmoja kumnyonya mwengine kiuchumi,kidini,kiutamaduni,kimawazo? kama tunaamini binadamu ni sawa na wote tumeumbwa na mungu mmoja ambaye ni baba yetu sote
" kama ni hivo kwa nini mzungu anaona weusi hatufai?waarabu hawa hawafai, Asia kama wanaahueni.

Sasa kama watu tunaofikiri katika busara hatuwaungi mkono.






Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Katika kujenga taifa imara la kiuchumi mwanzo njia ipi ni ya kuanza nayo ubepari au ukomunisti ?
 
Katika kujenga taifa imara la kiuchumi mwanzo njia ipi ni ya kuanza nayo ubepari au ukomunisti ?
mfalme sulemani alianza vema akamaliza hovyo lakin yule mtoza mfupi zakayo ushuru alianza hovyo akamaliza vema. so haijarishi ulikuwa vip lakin unaweza ukaamua kubadilika kwa kuchagua jema kwako na ukalisimamia.
lakin ikumbukwe pia huwezi criticiz ubepari koz wapo waliofanikiwa kwa njia hizo hata kama Mimi naziita ujinga

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Back
Top Bottom