SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,259
- 6,902
Hao walitajwa katika ?MADA hii ndio waliochangia Kuisambaratisha Afrika.
Sisi waafrika tunahitaji tujadili wanafalsafa wa Kiafrika na michango yao chanya katika bara letu.
Sikatai waliotajwa kwenye maa sio wanafalsafa, na kwamba hawana mchango hapa Afrika, ila ninapinga dhana ya kuwa ni wao ndio wameweza kutatua yanayojiri Barani. Ila, kwa wazungu pouwa, napo huko tunajua pamoja na falsafa zao, hakuna kisichoonekana huko....walipotoka.Vita, Mauaji, Umasikini, Uchumi mbaya, Haki za kusuasua n.k
Tuendelee na mjadala mwema
Sisi waafrika tunahitaji tujadili wanafalsafa wa Kiafrika na michango yao chanya katika bara letu.
Sikatai waliotajwa kwenye maa sio wanafalsafa, na kwamba hawana mchango hapa Afrika, ila ninapinga dhana ya kuwa ni wao ndio wameweza kutatua yanayojiri Barani. Ila, kwa wazungu pouwa, napo huko tunajua pamoja na falsafa zao, hakuna kisichoonekana huko....walipotoka.Vita, Mauaji, Umasikini, Uchumi mbaya, Haki za kusuasua n.k
Tuendelee na mjadala mwema