sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,610
- 2,158
Hiyo picha kama ni yako, basi unafanana sana na mmama flani alikua mkuu wa chuo cha FDC. Anaitwa mama Kanoni.Nna ndugu wengi Sikonge japo siku nyingi sijaenda. Shangazi na baba wadogo wameambaa maeneo mbali mbali ya Tabora.
nimekupenda automatically