hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,591
- 73,920
kama mpaka mkuu keshasema kuwa tupake grisi bhasi nisijefikwa namshangao pindi nitakapo fika k.koo nakuambiwa kuwa zimeshaisha na mzigo nimpka week ijayoHehehehehe wapi mapema mwaya, sass hivi grisi itakuwa dili kuliko makinikia na itakuwa bidhaa muhimu kuliko sukari.
hahaaa tupake grisi tumeshakuwa mashine sasa na machine zitatumia nini ...sindio mwanzo waku nock engine huu...
lakini mkuu kesi serikali hii siilipiga marufuku kuhusu matumizi ya vilainishi....hahahaaaaa